Duh, jamani hili shirika letu linakufa kabisa sasa. Jana nimehudhulia kongamano la katiba pale Nkurumah Hall, nimekuja kuangalia habari TBC1, ujinga wanaoufanya, unaweza kulia.
Eti wamemnukuu Professor Shivji akisema hakuna haja ya Katiba mpya, iliyopo inaeza kurekebishwa tu, na eti kasema anamuunga mkono raisi uundwaji wa tume, hivyo hivyo wakamnukuu Ulimwengu akisema lazima tujirekebishe kwanza kimaadili kabla ya kupata katiba mpya.
Eti, mpaka Tundu lisu kasema hatuhitaji katiba mpya? ya tundu lisu wamechakakua kabisaaaaa.
mtu ambae hakuenda kwenye kongamano, na ambaye hajaona wala kusikia toka kwingine kuhusu kongamano hilo, na akawa ameangalia TBC1 peke yake, atahitimisha kwamba watu wote wa kwenye kongamano hawakua wanataka katiba mpya, hii dhambi kubwa sana TBC1.
yaani wamechukua vipengele vya sentensi na kuziunga unga, ili kupata upotoshaji huo walioufanya. hii dhambi kubwa sana kufanywa na shirika letu, na bila shaka shirika litakufa sasa hivi, wamuulize Rostam na magazeti yake kama anauza, siku hizi ni hasara tupu.
Duh, jamani hili shirika letu linakufa kabisa sasa. Jana nimehudhulia kongamano la katiba pale Nkurumah Hall, nimekuja kuangalia habari TBC1, ujinga wanaoufanya, unaweza kulia.
Eti wamemnukuu Professor Shivji akisema hakuna haja ya Katiba mpya, iliyopo inaeza kurekebishwa tu, na eti kasema anamuunga mkono raisi uundwaji wa tume, hivyo hivyo wakamnukuu Ulimwengu akisema lazima tujirekebishe kwanza kimaadili kabla ya kupata katiba mpya.
Eti, mpaka Tundu lisu kasema hatuhitaji katiba mpya? ya tundu lisu wamechakakua kabisaaaaa.
mtu ambae hakuenda kwenye kongamano, na ambaye hajaona wala kusikia toka kwingine kuhusu kongamano hilo, na akawa ameangalia TBC1 peke yake, atahitimisha kwamba watu wote wa kwenye kongamano hawakua wanataka katiba mpya, hii dhambi kubwa sana TBC1.
yaani wamechukua vipengele vya sentensi na kuziunga unga, ili kupata upotoshaji huo walioufanya. hii dhambi kubwa sana kufanywa na shirika letu, na bila shaka shirika litakufa sasa hivi, wamuulize Rostam na magazeti yake kama anauza, siku hizi ni hasara tupu.
I beg to differ, mengi ya hayo waliyoripoti ni ya kweli.
Tatizo ni wewe ambaye unasikiliza yanayokufurahisha na ku shout kama kichaa yakisemwa usiyoyapenda.
Kwa mfano, ni kweli kuwa Ulimwengu alisema tujirekebishe kimaadili (kujenga what he called national ethos) kabla ya kuandika katiba.
Tena Ulimwengu aliendelea kwa kusema wa Tz hawawezi kuandika katiba kutokana na hali yao, corrupt na ignorant.
Ya Tundu Lisu wamechakachua kabisaaa, na hayo ya wengine (u have doubts, no so?)? huna uhakika na usemacho?
Duh, jamani hili shirika letu linakufa kabisa sasa. Jana nimehudhulia kongamano la katiba pale Nkurumah Hall, nimekuja kuangalia habari TBC1, ujinga wanaoufanya, unaweza kulia.
Eti wamemnukuu Professor Shivji akisema hakuna haja ya Katiba mpya, iliyopo inaeza kurekebishwa tu, na eti kasema anamuunga mkono raisi uundwaji wa tume, hivyo hivyo wakamnukuu Ulimwengu akisema lazima tujirekebishe kwanza kimaadili kabla ya kupata katiba mpya.
Eti, mpaka Tundu lisu kasema hatuhitaji katiba mpya? ya tundu lisu wamechakakua kabisaaaaa.
mtu ambae hakuenda kwenye kongamano, na ambaye hajaona wala kusikia toka kwingine kuhusu kongamano hilo, na akawa ameangalia TBC1 peke yake, atahitimisha kwamba watu wote wa kwenye kongamano hawakua wanataka katiba mpya, hii dhambi kubwa sana TBC1.
yaani wamechukua vipengele vya sentensi na kuziunga unga, ili kupata upotoshaji huo walioufanya. hii dhambi kubwa sana kufanywa na shirika letu, na bila shaka shirika litakufa sasa hivi, wamuulize Rostam na magazeti yake kama anauza, siku hizi ni hasara tupu.
I beg to differ, mengi ya hayo waliyoripoti ni ya kweli.
Tatizo ni wewe ambaye unasikiliza yanayokufurahisha na ku shout kama kichaa yakisemwa usiyoyapenda.
Kwa mfano, ni kweli kuwa Ulimwengu alisema tujirekebishe kimaadili (kujenga what he called national ethos) kabla ya kuandika katiba.
Tena Ulimwengu aliendelea kwa kusema wa Tz hawawezi kuandika katiba kutokana na hali yao, corrupt na ignorant.
AMANI - unayosema huwenda yanukweli lakini Je, TBC1 walisema kuwa Shivji alisisitiza mjadala huo usipelekwe Bungeni kutingiwa sheria ya Kuunda Katiba mpya kwa kuwa CCM imeshapoteza cridibility katika kujali maslahi ya taifa hivyo itapindisha mahitaji halisi ya katiba kwa manufaa ya watu wachache?; Tafadhali nifahamishe hilo maana sikuangalia taarifa ya habari ya TBC1 ila nilikuwa kwenye Mdahalo!
CDM nao wapewe airtym based on TBC questions. otherwise CDM weka matukio yote ya Arusha kwenye CD bila kuedit. Mutauza kukijengea chama uwezo na pia kutupa ujasiri.
Nimeona jinsi ilivyokuwa,na nikaujua angalau ukweli,unajua siku zote nachangia ukitaka kujua ukweli msikilize na wa upande wa 2,kila siku mnasema police wameuwa police wameuwa ,hv mlitaka mpk mfike kituoni muwauwe police ,mchukue bunduki ,muwatoe washtakiwa wenu ndo mjisifu??nimegundua ki2 viongozi wa cdm wanamapungufu vichwani,tena police wamejitaidi sn kupunguza idada ya vifo mlitakiwa kufa wengi zaidi.natoa oja polisi sio chanzo cha vifo arusha ila viongozi wasio na busara ndio chanzo,heti ndo tumpe nch pambafu.
Wapenzi wa JF jeshi la Polisi limetoa kipindi maalumu ya tukio la vurugu zilitokea Arusha. Imekuwa ni makala maalumu lakini ambayo lengo lako ni kujulisha ulimwengu hali halisi iliyojitokeza. Naona kipindi ndiyo kimekwisha hivyo nawakilisha kwa ajili ya kujadili kipindi hicho kwa waliokioona.
Source TBC1 Kipindi maalumu mara baada ya taarifa ya habari.
umetumwa?we kijana mbona muongo hivyo?