TBC1 ni shirika bovu zaidi la utangazaji duniani

markp

Senior Member
Sep 26, 2013
181
299
Katika taarifa yao ya habari wametoa wanayoita orodher ya MASPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

Na kwa ujinga uliotukuka wakaanzia orodha hiyo tangu mwaka 1953. SASA UNAJIULIZA HUO MWAKA KULIKUWA NA NCHI INAITWA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.?

Hawa waandishi wamekaa kuitetea serikali mpaka wanasahau mambo ya muhimu ya kazi zao. Uzembe sana. Television ya taifa haijui hata historia vilaza sana
 
Katika taarifa yao ya habari wametoa wanayoita orodher ya MASPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

Na kwa ujinga uliotukuka wakaanzia orodha hiyo tangu mwaka 1953. SASA UNAJIULIZA HUO MWAKA KULIKUWA NA NCHI INAITWA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.?

Hawa waandishi wamekaa kuitetea serikali mpaka wanasahau mambo ya muhimu ya kazi zao. Uzembe sana. Television ya taifa haijui hata historia vilaza sana
Unawashangaa TBC badala ya kujishangaa na wewe kuandika orodher😀😀😀😀
 
pole sana.
Mpaka sasa unaangalia/sikilliza hiyo takataka?
Atakua kaishiwa bando huwezi kulipa kin'gamuzi ukaangalia ule udwanzi sa hz wanaprogram inaitwa mwezi wa mama kwa nia ya wazi kabisa ya kujipendekeza Mambo ya tunatekeleza na safari ya Dodoma yalipotelea hewani hivihvi
 
Mashirika yote ya SERIKALI YA TANZANIA ni ya kipuuzi sana.
TBC
TTCL
Na mengine mengi yanaongoza orodha hiyo.
 
Katika taarifa yao ya habari wametoa wanayoita orodher ya MASPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

Na kwa ujinga uliotukuka wakaanzia orodha hiyo tangu mwaka 1953. SASA UNAJIULIZA HUO MWAKA KULIKUWA NA NCHI INAITWA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.?

Hawa waandishi wamekaa kuitetea serikali mpaka wanasahau mambo ya muhimu ya kazi zao. Uzembe sana. Television ya taifa haijui hata historia vilaza sana
Ulitumwa uangalie iyo TBC?
 
Si bora Hilo shirika linaudhi tu! Njoo ukutane na ATCL umekata tiketi kuwahi mkutano na wewe ndo unafanya presentation au mwenyekiti wa mkutano. Utaambiwa ndege moja amechukua mama, nyingine PM, nyingine Mpango, nyingine tunamsubiri Mwigulu amalizie kuandaa documents tusafiri naye.
 
Si bora Hilo shirika linaudhi tu! Njoo ukutane na ATCL umekata tiketi kuwahi mkutano na wewe ndo unafanya presentation au mwenyekiti wa mkutano. Utaambiwa ndege moja amechukua mama, nyingine PM, nyingine Mpango, nyingine tunamsubiri Mwigulu amalizie kuandaa documents tusafiri naye.
 
Si bora Hilo shirika linaudhi tu! Njoo ukutane na ATCL umekata tiketi kuwahi mkutano na wewe ndo unafanya presentation au mwenyekiti wa mkutano. Utaambiwa ndege moja amechukua mama, nyingine PM, nyingine Mpango, nyingine tunamsubiri Mwigulu amalizie kuandaa documents tusafiri naye.
duh
 
Si bora Hilo shirika linaudhi tu! Njoo ukutane na ATCL umekata tiketi kuwahi mkutano na wewe ndo unafanya presentation au mwenyekiti wa mkutano. Utaambiwa ndege moja amechukua mama, nyingine PM, nyingine Mpango, nyingine tunamsubiri Mwigulu amalizie kuandaa documents tusafiri naye.
Hilo shirika likivuka miaka kumi ijayo basi tutakuwa tunaweza kufikia kiwango Cha uchumi wa china
 
Katika taarifa yao ya habari wametoa wanayoita orodher ya MASPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

Na kwa ujinga uliotukuka wakaanzia orodha hiyo tangu mwaka 1953. SASA UNAJIULIZA HUO MWAKA KULIKUWA NA NCHI INAITWA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.?

Hawa waandishi wamekaa kuitetea serikali mpaka wanasahau mambo ya muhimu ya kazi zao. Uzembe sana. Television ya taifa haijui hata historia vilaza sana
Na kwa ujinga uliotukuka wakaanzia orodha hiyo tangu mwaka 1953. SASA UNAJIULIZA HUO MWAKA KULIKUWA NA NCHI INAITWA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.?
 
Spika wa Bunge la Tanzania walioongoza tangu Desemba 1962;

Chief Adam Mkwawa (1962 - 1973)

Chief Erasto Mang'enya (1973 - 1975)

Chief Adam Mkwawa (1975 - 1994)

Pius Msekwa (1994 - 2005)

Samwel Sitta (2005 - 2010)

Annie Makinda (2010 – 2015)

Job Ndugai (2015 – 2022)
 
Katika taarifa yao ya habari wametoa wanayoita orodher ya MASPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

Na kwa ujinga uliotukuka wakaanzia orodha hiyo tangu mwaka 1953. SASA UNAJIULIZA HUO MWAKA KULIKUWA NA NCHI INAITWA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.?

Hawa waandishi wamekaa kuitetea serikali mpaka wanasahau mambo ya muhimu ya kazi zao. Uzembe sana. Television ya taifa haijui hata historia vilaza sana
Mbona umechelewa sana kujua , ulikuwa jela ?
 
Back
Top Bottom