Zambotti
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 1,961
- 3,592
Natazama taarifa ya habari hapa maana king'amuzi changu bando limekata, basi eti wamemtuma mwandishi wao aitwa Lea Mushi kwenda kufanya live coverage ya uchaguzi wa Marekani basi mweeh! Huyo ripota wenyewe anaripoti kama yuko anaripoti redioni, yaani ni ujinga mtupu, hawa jamaa sijui wanakosea wapi.