leo kwenye taarifa ya habari ya tbc1 kwa mara ya kwanza wameonyesha taarifa ya maandamano na mkutano wa CDM huko Njombe.
wameamua hivyo baada ya wadau mbalimbali wa habari na maendeleo kuishambulia na haswa wakiongozwa na wazalendo wa JF.
This shows how powerfull JF is. keep it up.
wameonyesho kuhusu wabunge wa cdm kutetea umma bungeni na kama serikali haitasikiliza watarudi kwa waajiri wao yaani wananchi ili waamue nn cha kufanya.
wameamua hivyo baada ya wadau mbalimbali wa habari na maendeleo kuishambulia na haswa wakiongozwa na wazalendo wa JF.
This shows how powerfull JF is. keep it up.
wameonyesho kuhusu wabunge wa cdm kutetea umma bungeni na kama serikali haitasikiliza watarudi kwa waajiri wao yaani wananchi ili waamue nn cha kufanya.