Inawezekana wanabanwa na Wafadhili maana kwa sasa hawana hela na inabidi wapate hela ili walau waishi zaidi huku wakifikiri cha kufanya hapo mbeleni mara Chadema ikiwa juu zaidi.
Watu wakikosa mishahara miezi miwili na huku wao wananunua Maroli 100 kwa mkupuo, basi patakuwa hapatoshi.
Sidhani vyombo kama JF vimelazimisha kwa hali yoyote ile maana jamaa ni viziwi kwa watu wao. Ila akikohoa Mgeruma, UK, USA basi wanakuwa hawana la kufanya ila KUACHIA NYUZI hewani...........
Ivi humu JF .. hakuna watu wa CCM.....au ni Unafiki.. maaanaaa kila mtu anajifanya CDM.... AFFUU WENGINE WAZEE WAO MAKADA WA CCM..
. Sorry im out of the thread.. Im jus concerned about that
leo kwenye taarifa ya habari ya tbc1 kwa mara ya kwanza wameonyesha taarifa ya maandamano na mkutano wa CDM huko Njombe.
wameamua hivyo baada ya wadau mbalimbali wa habari na maendeleo kuishambulia na haswa wakiongozwa na wazalendo wa JF.
This shows how powerfull JF is. keep it up.
wameonyesho kuhusu wabunge wa cdm kutetea umma bungeni na kama serikali haitasikiliza watarudi kwa waajiri wao yaani wananchi ili waamue nn cha kufanya.
leo kwenye taarifa ya habari ya tbc1 kwa mara ya kwanza wameonyesha taarifa ya maandamano na mkutano wa CDM huko Njombe.
wameamua hivyo baada ya wadau mbalimbali wa habari na maendeleo kuishambulia na haswa wakiongozwa na wazalendo wa JF.
This shows how powerfull JF is. keep it up.
wameonyesho kuhusu wabunge wa cdm kutetea umma bungeni na kama serikali haitasikiliza watarudi kwa waajiri wao yaani wananchi ili waamue nn cha kufanya.
leo kwenye taarifa ya habari ya tbc1 kwa mara ya kwanza wameonyesha taarifa ya maandamano na mkutano wa CDM huko Njombe.
wameamua hivyo baada ya wadau mbalimbali wa habari na maendeleo kuishambulia na haswa wakiongozwa na wazalendo wa JF.
This shows how powerfull JF is. keep it up.
wameonyesho kuhusu wabunge wa cdm kutetea umma bungeni na kama serikali haitasikiliza watarudi kwa waajiri wao yaani wananchi ili waamue nn cha kufanya.