TBC wasitisha matangazo LIVE bungeni

Du! Aisee hii serikali ni ya wa.ch.aw.i ndo maana mambo yao mengi wanapenda kufanyia gizani.
 
Wang'oe na transmiter zao wala hatuna haja na matangazo yao!tutasoma Nipashe,Tanzania Daima,Mawio,Raia mwema,jamiiforums n.k sources kibao,wanambabaisha nani!magazeti yako online hata uwe Wellington utapata news tu na wala hawaedit,wanaandika kila kitu.
 
Hawako hewani si redio wala luninga. Hakuna sababu yoyote iliyotolewa zaidi ya mtangazaji wa zamu kusema anasikitika hakutakuwa na matangazo toka bungeni hadi tutakapoarifiwa tena.

attachment.php
..TV ya kifedhuli sana hii....inaendeshwa pia kifedhuli kweli kweli....Hamna hapa cha sababu za kiufundi wala nini....hawa mafedhuli wameamua kuondoka hewani kutoonyesha bunge ili kukidhi azma yao ya siku nyingi....wanawanyima watanzani walio wengi kuona uchizi wa wabunge wao bungeni....hamna sababu nyingine zaidi ya hii.....Ni nchi gani dunia hii ya leo watu hawaonyeshwi vikao vya bunge lao kupitia National media?????....hata kule North Korea kwenye udikteta wanaonyeshwa TV ya taifa vikao vya bunge lao.....Kuona bunge ni haki ya raia wa TZ....ni haki ya raia kupata habari...tena habari kuhusu yanayofanywa na wabunge waliowachagua...hawa mafedhuli wanakiuka haki za msingi za mtanzania mchana kweupe...haingii akilini kabisa hii......Lazima tuipigie kelele.....Wanashindwa kuonyesha vikao vya bunge wakati wanatumia kodi zetu kujiendesha!!huu kama si wizi ni nini???....haitakubalika hii.....Nasikiliza radio hapa wanaonyesha vipindi vya kipumbavupumbavu tu...wanakula kodi zetu hawa mafedhuli.......
 
Inasikitisha sana.serikali ya ccm kwa sasa imeshikwa pabaya sana.wanatekeleza lile ofisi ya bunge ilitamka kuwa inataka kuhariri matangazo ya bunge kabla ya kuletwa kwa wananchi
hili lingefanyika tungepataje msamiati wa Serukamba na Kinana baridiii
 
Hawako hewani si redio wala luninga. Hakuna sababu yoyote iliyotolewa zaidi ya mtangazaji wa zamu kusema anasikitika hakutakuwa na matangazo toka bungeni hadi tutakapoarifiwa tena.

Kumbe mpaka radio, kuna kitu wanaficha, na sijui kwanini channel zingine kama star tv wamezuia
 
Kutokana na kifaa kimoja cha kurushia LIVE matangazo ya TBC kuharibika bunge sasa halitaonyeshwa moja kwa moja mpaka kifaa hicho kitakapo tengamaa au kunuliwa kipya.
na kwa mujibu wa sheria ya manunuzi sitegemei tuone bunge leo wala kesho.
 
jana wakati ndugai anahairisha bunge alisema hakutakuwepo na maswali ya papo kwa papo kwa waziri mkuu. hawajakata matangazo sababu hiyo labda kuna lingine.

kweli inawezekana mkurugenzi wa tbc kaamua kuwa msikivu kajifunza kwa yaliyomkuta tido..,
 
Kuwa mtu mzima wewe....wameficha aibu wa pinda kulia!!!!! Watamuuliza bt ujinga na upotofu wa serikali hautaonekana kwa wannchi...na huenda washajua leo patachimbika pale ndio maan wamekata...sasa cha moto watakiona....pumbavu wewe
acha kupotosha mkuu. Kwani hata kama tbc wasipokuwa hewani itazuia wabunge kumuuliza maswali waziri mkuu? Kama hiyo ndiyo sababu, mbona muda wa maswali ya papo kwa papo kwa waziri mkuu umeisha na bado hakuna matangazo?
 
Sasa wanafika pabaya na patachimbika
..tv ya kifedhuli sana hii....inaendeshwa pia kifedhuli kweli kweli....hamna hapa cha sababu za kiufundi wala nini....hawa mafedhuli wameamua kuondoka hewani kutoonyesha bunge ili kukidhi azma yao ya siku nyingi....wanawanyima watanzani walio wengi kuona uchizi wa wabunge wao bungeni....hamna sababu nyingine zaidi ya hii.....ni nchi gani dunia hii ya leo watu hawaonyeshwi vikao vya bunge lao kupitia national media?????....hata kule north korea kwenye udikteta wanaonyeshwa tv ya taifa vikao vya bunge lao.....kuona bunge ni haki ya raia wa tz....ni haki ya raia kupata habari...tena habari kuhusu yanayofanywa na wabunge waliowachagua...hawa mafedhuli wanakiuka haki za msingi za mtanzania mchana kweupe...haingii akilini kabisa hii......lazima tuipigie kelele.....wanashindwa kuonyesha vikao vya bunge wakati wanatumia kodi zetu kujiendesha!!huu kama si wizi ni nini???....haitakubalika hii.....nasikiliza radio hapa wanaonyesha vipindi vya kipumbavupumbavu tu...wanakula kodi zetu hawa mafedhuli.......
 
Kwani TV Nyingine wamezuiwa kurusha live mkutano wa bunge?Mie nafikiri TV nyingine zijitokeze kurusha matangazo manake kutegemea TBC peke yake ni majanga!
 
Hawako hewani si redio wala luninga. Hakuna sababu yoyote iliyotolewa zaidi ya mtangazaji wa zamu kusema anasikitika hakutakuwa na matangazo toka bungeni hadi tutakapoarifiwa tena.

attachment.php

TBC ni sehemu ya Tatizo kwa umma wa watanzania unaotaka kujikomboa! Inaficha uongo, uozo na ubovu wa wabunge wa CCM, na jinsi Serikali ya CCM inavyofilisika kila siku kukicha na hasa kushindwa kujibu hoja nzito za Wanamageuzi Wapinzani ndani ya Bunge. Aibu hii. TBC na Searikali ya CCM wanadhani watanzania watabakia wajinga na wa kupokea habari za kupikwa na kuchongwa na CCM inayoogopa kuanguka au kufukuzwa na wananachi! Hakuna jinsi tunaweza kusema kuwa hii ni TV ya Taifa, bali TBCCM ndio jina lake sahihi!

From now on the good name should be TBCCM...
 
Mtanzania mbona unaumiza kichwa sana, tusipende kupata matangazo ya bureeeeeeeee tena bwereeeeeeeeeeeee na uhondo wote ule wa maserukamba?. Hii haiwezekani kabisa.

Nadhani mhusika wa mambo ya biashara na kodi nchini amesoma soko zuri la wafuatiliaji wa bunge na hivyo badala ya kuwapa bure taarifa sasa wasubiri CD mtaani kwani zitakuwa na soko zuri, wananchi watanufaika na habari huku Tz ikiingiza mapato na mwekezaji huenda ashapatikana. Pia itawasaidia wananchi kutunza kumbu kumbuu kuliko hivi wanavyotizama wanakuwa hawawezi kutunza kiufasaha taarifa za nchi yao.

Please msinihukumu huu ni utani tu.
 
Back
Top Bottom