TBC wanaonyesha mkutano wa UKAWA

TBC wanaonyesha mkutano wa UKAWA

j.makamba alivyosema kuhusu tv 5 hesabu yangu ilikuwa ni pamoja na tbc,star tv,clouds lakini now nimebakiwa na star tv so labda ni tv stations za kawaida.

tatizo ccm wanapanic sana mkuu. Mbona wakishinda kihalali haina shida.

Hawajiamini kabisa
 
Kuna mwangalizi mmoja wa UN jana alihojiwa na Salim Kikeke Dira ya dunia, alisema kuwa vyombo vya habari hasa vya umma vinapendelea sana chama kilichoshika hatamu. Hivyo itakuwa ni sehemu ya kujirekebisha kwa kuonyesha huo mkutano.
 
Ilikuwa ni maajabu ya TZ . Kikwete na Maghufuri naona wanacheza fiesta mwanza.
 
Channel ten nao ni ukawa,star tv wanaonyesha ccm sijui hizo channel tano yanatokea wapi?UKAWA CHANNEL 4 CCM 1 hadi sasa.

Angalia sasa hivi, mkutano wa ccm ulikuwa haujaanza! Hao tbc mpaka itv wote wanaonyesha mkutano wa ccm...
 
Azam two, channel ten, clouds, tbc1, star tv na itv wote wanaonyesha mkutano wa ccm...!
 
mbona chenga 2... hamna ukawa wala nn,,ccm tu ndo inaonyeshwa
 
hao wamefanya hivyo ili hao waangalizi waone iko balance kumbe wanazingua
 
Wameshasadiki kuwa serikali ya Ukawa ndiyo muajiri wao kuanzia kesho jioni.
 
Mbona watuchora wewe? Me naona ni CCM kiumba stadium na sasa ndo wanamkaribisha Diallo.
 
Wanaanza kujipendekeza mana wanajua kuanzia kesho El anatake over
 
danganya toto hiyo ili tujisahau

ketwas;;
Viongozi wa UKAWA wanalijua hilo. Usihofu, lipo jambo wanataka kuli edit hapo wakajua bila kufanya hivi, watashtukiwa. Maajent ya ccm hao.
Sikumbuki hata nifungulie channel gani kuipata hiyo TBCCM, Nilishaifutaga kabisaaaaa. Hao ni Wanafiq
 
Back
Top Bottom