TBC wamezima tusione Bunge

TBC wamezima tusione Bunge

Akina Lisu wameshapigwa ban

They are trying to 'kill' the revolutionaries but not the ideas...wanafundisha na kuwakomaza akina Lissu na Mnyika wengine wengi zaidi huku nje. Uonevu huotesha sugu na kuwafundisha wanaoonewa njia za kujilinda dhidi ya uonevu. It is just a normal principle.
 
Msigwa na mwenzake wamekula ban ya vikao viwili vya bunge.
 
Mkuu bila shaka utakuwa na namba za Makamanda ndani ya Bunge, waambie warekodi yote yatakayojiri leo kupitia zao na kuendelea maana hawa wahuni wanataka kufanya uhuni mkubwa katika kupitisha miswaada hii kinyemela.

They are trying to 'kill' the revolutionaries but not the ideas...wanafundisha na kuwakomaza akina Lissu na Mnyika wengine wengi zaidi huku nje. Uonevu huotesha sugu na kuwafundisha wanaoonewa njia za kujilinda dhidi ya uonevu. It is just a normal principle.
 
Kumbe walipaswa wahojiwe wakiwa na mashahidi wao kamati ikagoma
 
UKAWA waliobaki waendeleze libeneke!Shekifu anapiga CCM hoyee bungeni.Hawa kweli wamepania kutuondolea vichwa bungeni.
 
Makinda anatumia mabavu inatia sana hasira
 
Huyu mama analiharibu bunge kabisa na amehairisha kikao hadi kesho
 
Wenje kaomba utaratibu mpaka koo likakauka lakini kabaniwa,dah!yana mwisho
 
Waliobaki wawaenzi wenzao waliopigwa ban kwa kutokubali hizo hati za dharura.
 
Bavicha una uhakika bunge linaendelea? Si mmewatuma wanywa viroba wakafanye vurugu? Makinda alisema bunge litaendelea hapo atakapo tangaza ngoja kwanza hawa walevi wenu washughulikiwe!

Bila shaka wata simamishwa kuhudhuria bunge! Mkumbushe Mnyika wana ubungo tuna hitaji maji....

Mnyika sio Wizara ya Maji.
 
Nishati tena,nahisi kuna nguvu ya mkulu ipite ili kutetea mambo yao ya kifisadi,haiwezekani zibaki wiki kadhaaa mnakuja na spidi ya dharura.
 
Bavicha una uhakika bunge linaendelea? Si mmewatuma wanywa viroba wakafanye vurugu? Makinda alisema bunge litaendelea hapo atakapo tangaza ngoja kwanza hawa walevi wenu washughulikiwe!

Bila shaka wata simamishwa kuhudhuria bunge! Mkumbushe Mnyika wana ubungo tuna hitaji maji....

Ubungo hawana vilaza kama wewe. Rudi kwa lusinde ndo anafaa kuwaongoza nyie.
 
Back
Top Bottom