Tumaini Makene
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 2,650
- 6,085
Akina Lisu wameshapigwa ban
They are trying to 'kill' the revolutionaries but not the ideas...wanafundisha na kuwakomaza akina Lissu na Mnyika wengine wengi zaidi huku nje. Uonevu huotesha sugu na kuwafundisha wanaoonewa njia za kujilinda dhidi ya uonevu. It is just a normal principle.