TBC wamezima tusione Bunge

TBC wamezima tusione Bunge

Mbona hakuna sauti hii tbc wanataka kutumia propaganda ya ubovu wa mitambo kudadadeki zao!
 
raia wako bize na smartphone zao mjengoni bila shaka wana log in jf!
 
daa huyu bikizee anawaaibisha sana WABENA aisee mbona wabibi kama yeye hawana tabia kama zake.

angekuwepo mzee MAKINDA tungeenda kuomba japo neno 1 tuu juu ya mwanae huyu aisee.

harafu yatubini atueleze huyu bibi mpaka umri huu hana hata mume why??.

au atakuwa anawatenda dada zetu?? hapa mm naona huyu bibi tunamlaum bule coz kuna vitu vipo nje ya uwezo wake ujue kukosa mme kwa umri wake ni shida sana.
 
Leo ni maajabu bungeni, spika bado hajafika bungeni dakika ya 20 sasa anasubiriwa!!!
 
Natamani wabunge wa upinzani wangekuwepo wote, ili kuitia tumbo joto serikali iondoe hii miswada ya kimagumashi. Kuna ulazima gani wa kui-present muda huu. Binafsi nimechoshwa na hiki chama kizee.
 
Bila shaka spika bado anaendesha kikao cha kamati ya maadili!!!
 
Dalili mbaya kuna jambo siyo la kawaida,why spika kachelewa hivi?
 
Anapata muongozo toka kwa fisadi mwenyekiti wa chama chao cha wahuni, atumie mbinu gani ili kupitisha misaada hii kinyemela au kibabe.

Leo ni maajabu bungeni, spika bado hajafika bungeni dakika ya 20 sasa anasubiriwa!!!
 
Anaingia kwa machale, anaangalia kama Mnyika yupo
 
Back
Top Bottom