dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,676
- 18,577
Leo baad ya habari ya saa mbili kamili kuisha na kisha kufata ki pindi cha hotuba wa baba wa taifa kisha ikafika saa tatu kamili kuanza kwa junguu kuu basi wakaweka kibagizo cha nukuu ya mwalimu wa Nyerere akikemee swala la viongozi wala rushwa
Nanukuu kidogo tu
"kiongozi mla rushwa na mpenda rushwa hafai kuteuliwa kuwa kiongozi hafai hata kidgo,
Wenda mtu fulani akaliwa kichwa vibaya sna mm niko hapa Dodoma naona kabisa dalili ya mtu kuliwa kichwa mapema sna na wajumbe hapo kesho watamkataa wasi wasi hata amini kitakacho tokeaa
Kila siku akili inanimbiaa mtu huyu hawezi kuwa kiongoz tena hata alazimishe vipi
Nanukuu kidogo tu
"kiongozi mla rushwa na mpenda rushwa hafai kuteuliwa kuwa kiongozi hafai hata kidgo,
Wenda mtu fulani akaliwa kichwa vibaya sna mm niko hapa Dodoma naona kabisa dalili ya mtu kuliwa kichwa mapema sna na wajumbe hapo kesho watamkataa wasi wasi hata amini kitakacho tokeaa
Kila siku akili inanimbiaa mtu huyu hawezi kuwa kiongoz tena hata alazimishe vipi