jojipoji koromije
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 991
- 1,412
Heri ya Jumapili wapendwa katika Jina la Bwana aliye Hai.
Kutokana na dozi ya Konyagi ya jana nimeshindwa kwenda Kanisani nikaamua nisali kupitia Kipindi cha Tumwabudu Mungu kupitia TBC Taifa Fm. Kilichonishangaza Mpaka kuleta uzi huu ni pale wahubiri wote wa leo wamesisitiza wanadamu tutubu dhambi zetu na tutende yaliyo mema kwani mtenda mabaya chuki na gadhabu za Mwenyezi Mungu Zitamshukia na hapo ndo utakuwa mwisho wake.
Sasa najiuliza hawa wachungaji waliotoa Mahubiri leo TBC Taifa Fm walijipanga Kumuunga mkono Mchungaji Zacharia Kakobe? Au ni coincidence tu!!!! Tena Radio ya Serikali!!!
Niwapongeze wachungaji wote wa Leo waliotupatia neno la Uzima kupitia TBC Taifa Fm. Haijalishi kama walimuunga Mkono Kakobe au walimlenga Mtu Maalum ila neno la leo limenifundisha sana umuhimu wa Kutubu Dhambi Zetu na kumtumaini Mwenyezi Mungu katika Kila Jambo.
Ila kama kuna mlengwa Maalum basi ajitathimini.
Tumsifu Yesu Kristo. Amina!!
Kutokana na dozi ya Konyagi ya jana nimeshindwa kwenda Kanisani nikaamua nisali kupitia Kipindi cha Tumwabudu Mungu kupitia TBC Taifa Fm. Kilichonishangaza Mpaka kuleta uzi huu ni pale wahubiri wote wa leo wamesisitiza wanadamu tutubu dhambi zetu na tutende yaliyo mema kwani mtenda mabaya chuki na gadhabu za Mwenyezi Mungu Zitamshukia na hapo ndo utakuwa mwisho wake.
Sasa najiuliza hawa wachungaji waliotoa Mahubiri leo TBC Taifa Fm walijipanga Kumuunga mkono Mchungaji Zacharia Kakobe? Au ni coincidence tu!!!! Tena Radio ya Serikali!!!
Niwapongeze wachungaji wote wa Leo waliotupatia neno la Uzima kupitia TBC Taifa Fm. Haijalishi kama walimuunga Mkono Kakobe au walimlenga Mtu Maalum ila neno la leo limenifundisha sana umuhimu wa Kutubu Dhambi Zetu na kumtumaini Mwenyezi Mungu katika Kila Jambo.
Ila kama kuna mlengwa Maalum basi ajitathimini.
Tumsifu Yesu Kristo. Amina!!