Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
Sio kufafanuliwa... hiyo ndio sentensi sahihi.Rais wa kwanza muafrika ktk serikali ya kidemokrasia.Lbd ulitaka wakufafanulie hivyo. Ndalichako ana kazi.
Ndalichako ana kazi kwenu nyie watoto... Sisi tulisoma enzi Jackson Makwetta akiwa waziri wa Elimu. Ulishawahi kumsikia??