TBC hawaishi kuchemka

TBC hawaishi kuchemka

Kama unazungumzia Mandela, anakuwa addressed as Rais wa Kwanza mzalendo wa Afrika ya Kusini. Kama Winnie, sema mtalaka wa Rais. ..........

Graca ni sahihi.
 
Mandela si rais wa kwanza wa a.kusini Bali ni rais mweusi ama mwafrika wa kwanza kuwa rais wa a kusin...grace ni mke ila sisi wana wa afrika tunamuelewa vizuri Winnie kuliko grace
 
Kwahiyo Mandela ndo rais wa kwanza Afrika Kusini???

Hivi hizi shule siku hizi mnaenda kujifunza nini??
Elewa tunapozungumzia Rais wa kwanza wa nchi yeyote ya kiafrika tunazungumzia baada ya uhuru kutoka kwa wakoloni/ wabaguzi
 
Kwahiyo Mandela ndo rais wa kwanza Afrika Kusini???

Hivi hizi shule siku hizi mnaenda kujifunza nini??
Rais wa kwanza muafrika ktk serikali ya kidemokrasia.Lbd ulitaka wakufafanulie hivyo. Ndalichako ana kazi.
 
Wangesema mke wa pili wa Raisi mweusi wa kwanza wa Afrika kusini Graca Machel, wangekuwa 100% sahihi
 
Back
Top Bottom