TBC hawaishi kuchemka

TBC hawaishi kuchemka

Kuna tofauti Kubwa Kati ya Afrika kusini(south Africa) na Kusini mwa Afrika(Southern Africa)

Wapo Sahihi

Kwa hiyo Samora Machel alikuwa rais wa kwanza Kusini mwa Afrika?

Ki nchi cha nchumbiji ambacho ni sisi tumekipa uhuru?

hahahaha..... that's the most ridiculous justification.

Ayoub Rioba ameshindwa kazi. Hivi kwa nini pale TBC pagumu sana?
 
Labda wangesema mke wa Rais wa kwanza mweusi au afrika kusini huru, ila sio Rais wa klwanza, Mandela sio Rais wa kwanza wa Afrika Kusini kuna maraisi kibao waliokua wanaongoza Serikali ya kibaguzi ya Afrika Kusini
 
Ukilaza uliopindukia nakunajitu linakurupuka linaona ni sahihi graca kuitwa mke wa rais wakwanza sa mh nchi yang jaman
 
wachunguzwe vyeti hao waandishi. unaweza kuta no mibashite mitupu
 
Mkuu powder huyo nae hayupo sahihi ila ww kwa namna nyingine umeweza kupatia huyo graca alikuwa mke wa tatu kwa mandela na winnie alikuwa mke wa pili rudin katika historia....weken pemben hizo akiri zenu za ki-udom udom
.
.
.
Kyenekyaka mkighanile une
Sure Mkuu! Watu wengi hawajui kabla ya Winnie! Mandela alikua na mke mwingine!
 
TBC wanasoma taarifa ya habari ya saa moja asubuhi, sasa hivi.

Nimesikia wakimtaja mgeni aliyeko nchini kwa sasa:

MKE WA RAIS WA KWANZA WA AFRIKA KUSINI GRACA MACHEL

Jamani hawa watu wanahitaji msaada wa dharura, hawana ma editors.

Rais wa kwanza wa Afrika Kusini ndio nani?
Rais wa kwanza wa kuchaguliwa kidemokrasia nchini Afrika kusini ni Hayati Nelson Mandela.
 
TBC wanasoma taarifa ya habari ya saa moja asubuhi, sasa hivi.

Nimesikia wakimtaja mgeni aliyeko nchini kwa sasa:

MKE WA RAIS WA KWANZA WA AFRIKA KUSINI GRACA MACHEL

Jamani hawa watu wanahitaji msaada wa dharura, hawana ma editors.

Rais wa kwanza wa Afrika Kusini ndio nani?

Atakuwa mke wa kaburu John Vorster huyo km sijakosea!
 
Masomo ya sayansi mmeyakimbia! Na historia nayo bado inawapiga chenga ya mwili, sasa nyie mnajua nini?
 
Atakuwa mke wa kaburu John Vorster huyo km sijakosea!

Wrong.

Balthazar Johannes Vorster, better known as John Vorster, served as the Prime Minister of South Africa from 1966 to 1978 and as the fourth State President of South Africa from 1978 to 1979

Cheki kidogo walau WIKIPEDIA haraka haraka kabla ya kupost ma vitu ya ajabu ajabu humu jamani...

Ndio maana TBC wana get away with bizarre journalism with audiences like these.
 
Back
Top Bottom