issenye
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 3,781
- 5,205
Jana ndio siku ambayo safari ya mwisho ya marehemu david wakati hapa duniani ilihitimishwa. Kwa kweli jinsi televisioni ya taifa ilivyoipa coverage hii safari, binafsi haikunifurahisha. Pamoja na kuwa marehemu aliwahi kuwa mkurugenzi wa rtd ambayo ndiyo iliyoizaa tbc.