Mbutunanga
Senior Member
- Feb 15, 2011
- 182
- 45
Kwa trend hii atakayefuatia ni waziri wa nishati!!
Baada ya Dr. Mponda kuondoka (kama Rais ataridhia) basi madaktari watasema hawawezi kufanya kazi kwa sababu hakuna umeme wa uhakika hivyo Waziri wa Nishati aondoke.
Hivi tunategemea TV ya Serikali kweli ishangilie mgomo dhidi ya serikali? Aaaah jamani kweli?
Kwa nchi za wenzetu ambao wana viongozi na si watawala marafiki waliopeana ulaji, hilo nalo waziri angewajibika. Waziri mkuu Pinda si alipewa mfano na daktari wa temeke pale alipoenda kuzungumza nao muhimbili jinsi watoto wanne waliokuwa kwenye oxygen iliyokuwa inategemea umeme walivyofariki mmoja baada ya meingine baada ya umeme kukatika na hospitali haina generator na watumishi wa afya wakiwa wanaangalia tu. madaktari hao kama wangeamua kulichukulia serious wangeweza washauri wazazi wa watoto hao kuishtaki serikali, au wangeweza omba waziri wa nishati awajibishwe ( ingawa mngrpiga propaganda kama kawaida). Inahitaji mtu mwenye akili ya kuanalyse mambo kuweza kuunganisha ni vipi mtumishi wa afya anaweza kumuwajibisha waziri wa nishati.