Hizo n dio zao TBC hawakuanza leo. Kama ulivyosema unaweza kufikiri mtangazaji hajaenda shule kwani hata mtoto mdogo atawazidi kwa umakini. Wao bado wako kwenye falsafa ya kusema mfalme kavaa nguo iliyoshonwa vizuri wakati yuko uchi wa nyama. Watu wako mbali kwa sasa sio mazumbukuku. Wanatakiwa wasome alama za nyakati la sivyo......