TB Joshua kiboko!

Siku Ukijitambua Utamjua Tb Joshua Ni Mtumishi Wa Mungu, Kama Hujawahi Kumsikiliza Na Kusoma Bible Utapga Porojo Najua Kwakua Unaongozwa Na Mapepo, Tangu Lini Jambazi Akamsapoti Mtumish Wa Mungu
 

Wewe ni mkristo...I second you.
 
Nasikia ametabir nchi inayoanza na C na kuishia na N ndo bingwa wa dunia fifa lkn inayosemwa tayar imeondoshwa
 
Ndo maana hua waandishi wa Tz mnaitwa makanjanja toka asubuhi umeunga mkono ajira kwa watoto mererani eti wanatafuta rizik wakati wanatakiwa kua wako shuleni hua nakueleza wewe unaandika bila tafiti na kama ni tafiti unafanya ukiwa kifua wazi basi.
 
Yesu Kristo, ndiye kiboko na siyo T.B Joshua !
Yesu alitabiri kusulubiwa,kufa,kuzikwa, kufufuka;HALELUYA !
[MT 16:21-23]
 
TB joshua ni msanii kama wacheza mazingaombwe wengine
 
Siku Ukijitambua Utamjua Tb Joshua Ni Mtumishi Wa Mungu, Kama Hujawahi Kumsikiliza Na Kusoma Bible Utapga Porojo Najua Kwakua Unaongozwa Na Mapepo, Tangu Lini Jambazi Akamsapoti Mtumish Wa Mungu

Nasikia eti Gwajima anafufua misukule.....Ni kweli...???
 
kwaiyo unataka kusema ata mzee wa upako nae noma sana maana nae katabiri mengi kama vile marehemu sheikh yahaya
 

Sasa Yupi ni wa Kweli. . AU hawapo Duniani?
 
jamani yanayofanywa na hao wakina TBJ na wenzanke yaliandikwa kwenye biblia kuwa baada ya yesu watakuja watu wa aina hiyo?
 
Acha kusikiliza maneno ya watu watakupoteza, kama una tv yako tafuta channel inaitwa emmanuel.tv , angalia kisha tafakari.
 
Mbona mimi nilitabiri timu za Africa hazitafika robo fainali kombe la dunia na kweli hazijafika...! Basi mimi kiboko
 
Mtu anaona mawingu yametanda afu anatabiri mvua itanyesha..! Ni kiboko pia?
 
Afanye maombi jamana mabinti waliotekwa warudishwe.
 
yesu alishasema kutakuja kuwapo na manabii wa uwongo( T B JOshua) nao wataonesha ishara za maajabu
cshanga kuona mkristo akiangukia kwa mpuuz ka tb josh coz najua aidha ni mvivu kusoma bible au hafuat mafundisho ya bble
 
yesu alishasema kutakuja kuwapo na manabii wa uwongo( T B JOshua) nao wataonesha ishara za maajabu
cshanga kuona mkristo akiangukia kwa mpuuz ka tb josh coz najua aidha ni mvivu kusoma bible au hafuat mafundisho ya bble

Ok ila Pia Yesu hakusema kuwa Wote ni Manabii wa Uongo... ila alitupa Sharti kuwa Tutawatambua kwa Matendo yao..
sajumo

Maana kama Tutaendelea kusema kuwa Yesu alisema watakuja manabii wa Uongo na sisi Kila Tumuonapo Mtumishi anahubiri na kufanya miujiza Tukasema waongo basi Duniani hakutakuwa na Ukombozi wowote ule alioleta Kristo maana kuna Mambo ambayo Binadamu hatuwezi kuponya Au kuyatatua ila Yesu Kristo Pekee. Sasa kama wote ni Wa uongo basi hakuna Ukombozi au Ishara ya Kuwa Bado Yesu Yu hai nasi.

Kwahiyo inabidi tusikurupuke tu na Kusema kuwa ni Nabii wa Uongo ila tuchunguze kuwa kama Yatoka kwa Mungu wa ukweli ambaye ni Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo kwa Kuangalia Matendo yao na Kuuliza baadhi ya Waumini wa karibu na kusikiliza Testimonies mbalimbali na kuzichunguza kama ni za kweli au ni maigizo tu..

MFANO

Nabii wa Uongo siku zote hadumu. Utamjua tu kama ni Mpenda Sadaka, Mwongo, Anaabudu Sanamu (pesa, usherati, mchawi ). Anatumia Nguvu za Giza kutuliza Mapepo si kuyatoa n.k

Hawa wahubiri wapo hapa Tanzania na tunawafahamu..
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…