kb52;
Imani yako kwa Mungu ndiyo itakayokupa ushindi;
Maombi anza kujiombea wewe mwenyewe;
utakapoona kuna umuhimu washirikishe na watu wengine.
Mwambie Mungu sasa imetosha mimi mtumishi wako nataka kazi
itakayoniwezesha kupata pesa;
Mwambie Mungu ukiwa siriazi, tena mpe Mungu muda kabisa,
tena mkumbushe kila mara kuwa nataka kazi, ulisema wewe Mungu ni tajiri kwa nini mimi mwanao niwe masikini,
Ulisema asiyefanya kazi na asile;
Ulisema ombeni lolote kwa Jina langu Nitawapa;
Ulisema niiteni nami nitawaitikia,
sema sana sema sana na Mungu,
pia chukua jukumu, angalia marafiki na watu unaowafahamu waambie wakutafutie kazi;
.......Mungu wetu ni mwaminifu na hakika utafanikiwa.
Nimeshashika sana screen ya TV wakati anaomba ili nipate kazi lakini wapi??..yerewiiiii....majanga mbona majanga mwenzenu. Wanasema God's time is the best. Nataka niende pale kwa Reinard Bonke nikajaribu kuombewa but nasikia mastory yake tena mara ooh..alishawahi kukamatwa anaingiza sembe bongo...mara ooh..sijui eti eti hana upako sana...yan mpaka nachanganikiwa...yan full mastory. .mavimavi tu. Sio kwamba simwamini Mungu but sasa ivi kuna wachungaji wengi sana wanatumiwa na ibilisi. ...so yatupasa kua makini sana. Nani hapa anamjua Bonke vizuri......anikomvinc kupitia miujiza yake...