Kumbe watu kama nyie bado mpo ndio maana mapastor wa siku hizi wanazidi kupata hela tu.. Mwenyezi Mungu ni mmoja na anasikia maombi ya mtu yeyote ni imani tu, hii mambo ya sijui niende kwa nani nani aniombee sijui mmemezeshwa na nani. Mnawatajirisha akina kakobe, bonke, lusekelo na rwakatale bure tu