TB Joshua....Emmanuel TV

TB Joshua....Emmanuel TV

Jinsi ulivyoandika hapo juu post yako, you not born again, kauli zako si za mtu aliyeonja maji ya uzima. Jaribu kwa karumanzila .
 
Asante kaka kwa ushauri. Nimeupokea. Kumbuka nipo crossroad...so yawezekana pengine niandika nikiwa na mastress na hasira. Am not that perfect but nimeupokea ushauri wako vizuri. ASANTE
 
Sijakuelewa hapa mkuu.
 
Yani unayosema kama...am like...yule tajiri aliyeulizwa na Yesu...akajibu; Bwana yote uyasemayo nayajua...na Yesu akamwambia..kama vivyo basi nenda kauze vitu vyako vyoote uwape maskini.
 
Amina. Asante mtumishi
 
Am kinda a funny guy...napenda kufurahi...sometimes am trying to be a comedian. Ni mtu ambaye naweza kufanya urafiki haraka sehemu ya watu. So maneno yangu nilivyoandika yasikupotoshe ukaniona nipo kama ivyo unavyofikiria. Am a born again...na namtafuta Mungu sana. Devil is the liar. Huko siwez kwenda. Habari za Job (Ayubu) kwenye biblia hua zinanitia moyo. Namshukuru Mungu kwa uzima.
 
Kujua ni mtumishi wa Mungu au la. Muulize aliyewatuma ya Mungu. La sivyo hupaswi kuzungimzia kuwa ni mavimavi. Siku ukijua kweli ni watumishi wa Mungu utakumbuka kutubu kwa kusaidia ibilisi? Au kwa lugha moja kuharibu mwili wa kristo
 
Whatevar the situation your fecing,it there to preserve to your destnies.
 
Nisamehe kwa kuharibu hisia zako.Naomba kufundishwa na kupatiwa elimu zaidi..tafadhali. Nafuta kauli hiyo
 
ni moja ya majaribu na kupimwa kwako imani, pale unapokata tamaa ndipo bwana anataka kukubariki wewe unakosa imani na kuanguka ktk maombi yako! Mwisho wa siku unajikuta hupati unachoomba. Kumbuka Jesus is our heeler whether he heels us or not! Endelea kuomba bila kuchoka na kuwa na imani
 
Hapo kumbe upo timamu barikiwa sana. Nimekuona ni mkristo. Maisha ya ni zaidi kazi muombe mungu atafanya njia kama alivyofanya kwa israel maji yakagawanyika na kuwa kuta
 
Kila mlima unaokutana nao mbele yako umebeba siri ya mafanikio yako kwa hiyo linda kinywa kisinung'unike, lakini ufundishe moyo kuamini mafanikio yaliyo mbele yako na kinywa kiyakiri hayo ndipo siku moja utajikuta wewe si mtu wa kawaida bali Mheshimiwa BWANA YESU AKUINUE HAGAI 2:6-9.
 
mtumishi ana sehemu yake, ww una sehem yako na Mungu ana sehem yake!
...so hao wanakuombea lkn pia wanatufundisha jinsi ya kujisaimamia wenyewe.
Mungu sio mjinga kuwaweka watumishi, na wala ucwasemee vibaya coz Mungu aliyewaita ndo anawajua na anaona wanachofanya, na yy ndo atawahukumu sawa2 na matendo yao!!
 
mi km ww tu,since 2010,hata ku aply nimechoka!so i understand u a
situation kb52!!
...emmannuel tv(TBJoshua) Mungu anamtumia kusaidia watu ht kwny masuala ya kazi kwa ss.....hyo screen nishashika km ww, nina hadi annointing water (new 1)
...niliamua nijiendeleze kusoma kuliko kukaa tu naposubiri hizo ajira,bt nothing, lkn ss naona ht shule haina maana nataka niache/niahirishe up to next yr
...Nina imani sana, ila km binadamu kuna muda unafika nakata tamaa kabisa naona hakuna ht matumaini!na mbaya zaidi unakuta frnds wana connection wanapata job ww upo 2!!
 
Da Christina..nimekuelewa vizuri na pole pia. Ujue wakati naandika thread hii. Nilikua like.."why me?"...ilikua kama na claim kitu kwa Mungu koz ni haki pia kuclaim kwake. Niliandika kwa uchungu sana...na to be honest. ..huwezi amini Kila siku lazima niangalie Emmanuel Tv...Hakuna mchungaji ambae Namwamini kama TB Joshua. Hapa nilipo nimeshaweka nadhiri ya kwenda kumwona siku moja nikiwa vizuri kifedha. So kauli niliyoandika katka thread siwapondi watumishi wa Mungu. Na ninaomba wanisamehe. .mnisamehe na Mungu anisamehe spiritually. Lengo kuu lilikua " mbona sifanikiwi???"
 
Huna Imani ndo maana hupokei, wewe hata ungeombewa na Yesu mwenyewe kama huna Imani ni bure tu! Imesemwa hata UKIWA NA IMANI KAMA PUNJE YA HALADALI BASI UNAWEZA KUUHAMISHA MLIMA NA UKAONDOKA (HAIKUSEMWA UWE NA IMANI KUBWA KAMA IKULU YA MAGOGONI) bali imesemwa hata uwe na Imani ndogo kama punje ya Haladali (ni punje ndogo kuliko mbegu ya mchicha) unaweza kufanya miujiza, so kama unataka baraka ama miujiza yote yanaanzia Moyoni mwako!
 
kwa nini usisimame mwenyewe katika imani.....hebu simama katika huu mstari uone kama hujapata kazi ndani ya wiki.......

John 14:13-14
And I will do whatever you ask in my name, so that the father may be glorified in the Son
If you ask me anything in my name, I will do it

po asante!
 
Tuma sadaka kwanza huko nijeria ... labda mungu hakuponyi kwasababu mzito kutoa sadaka
 
Back
Top Bottom