Tb Joshua atabiri mambo makubwa

Tb Joshua atabiri mambo makubwa

rosemarie

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
6,887
Reaction score
3,441
Amesema kati ya Ukrain na Russian ndege nyingine kubwa ya abiria itatunguliwa'
ametabiri kuhusu Obama kukimbizwa hospitali muda wowote kuanzia sasa hivi
ametabiri nchi inayopakana na Kenya Rais wake wa kutekwa,,,,,,,,je ni Tanzania?
 
Hiyo itakuwa Somali au Sudan Kusin au Ethiopia, Tz sio rahisi JK atekwe
 
Hivi ile ndege alisema itaonekana nayo imeonekana au....?
 
Amesema kati ya Ukrain na Russian ndege nyingine kubwa ya abiria itatunguliwa'
?
Airspace ya Ukraine siku hizi inakwepwa, hamna ndege inayopita huko isipokuwa za kivita tu
 
Amesema kati ya Ukrain na Russian ndege nyingine kubwa ya abiria itatunguliwa'
ametabiri kuhusu Obama kukimbizwa hospitali muda wowote kuanzia sasa hivi
ametabiri nchi inayopakana na Kenya Rais wake wa kutekwa,,,,,,,,je ni Tanzania?

Bora iwe.....
 
Hajasema nchi inayopakana na Kenya...amesema southern africa countries. ...kwamba one of their president atatekwa na pengine kuuawa.... about Obama, ameonya kwmba asifanyiwe operation maana haitokua sawa kwake. He said let's pray for them!!!
 
Amesema kati ya Ukrain na Russian ndege nyingine kubwa ya abiria itatunguliwa'
ametabiri kuhusu Obama kukimbizwa hospitali muda wowote kuanzia sasa hivi
ametabiri nchi inayopakana na Kenya Rais wake wa kutekwa,,,,,,,,je ni Tanzania?
Hana lolote ni tapeli kupitia imani. Ana intelligence yake au kubahatisha. Mara nyingi utabiri wake haitokei.
 
Amesema kati ya Ukrain na Russian ndege nyingine kubwa ya abiria itatunguliwa'
ametabiri kuhusu Obama kukimbizwa hospitali muda wowote kuanzia sasa hivi
ametabiri nchi inayopakana na Kenya Rais wake wa kutekwa,,,,,,,,je ni Tanzania?

Mkuu huu sio utabiri ni Unabii
Utabiri ni wale wengine

Pia sio nchi inayopakana na Kenya ni 'Southern Countries'

Unaweza rekebisha hapo kwenye post yake

Tupo pamoja
 
Amesema kati ya Ukrain na Russian ndege nyingine kubwa ya abiria itatunguliwa'
ametabiri kuhusu Obama kukimbizwa hospitali muda wowote kuanzia sasa hivi
ametabiri nchi inayopakana na Kenya Rais wake wa kutekwa,,,,,,,,je ni Tanzania?

Nasubiri yatokee ndipo nitaamini;kuona ni kuamini
 
Hajasema nchi inayopakana na Kenya...amesema southern africa countries. ...kwamba one of their president atatekwa na pengine kuuawa.... about Obama, ameonya kwmba asifanyiwe operation maana haitokua sawa kwake. He said let's pray for them!!!

Yes na.mi nimesikia hivyo
Ni southern countries na amesema hataitaja nchi.

Na.leo kasisitiza' don't misquoted mi'
 
Back
Top Bottom