Tb Joshua alivyonipa utajiri

Itabidi na mimi niende kwa Mchungaji TB JOSHUA anipe hayo maji ya (ANOINTING WATER) Nije niwatibu watu humu Jami forums ili wapone hahahah. Kumbuka Bwana YESU alivyosema ninanukuu. ( Luka 18:24-25 ) "Kwa maana ni rahisi kwa ngamia kupita kwenye tundu la sindano kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu".
 
Innocent Chacha

Hayo ni ya kweli? Nawezaje kuthibitisha kuwa miezi minne iliyopita ulikuwa huna kitu na sasa una utajiri kiasi hicho?
 

siku zote miujiza huonekana kama uongo fulani vile. Kwahiyo sikushangai hata kidogp
 
Innocent Chacha

Hayo ni ya kweli? Nawezaje kuthibitisha kuwa miezi minne iliyopita ulikuwa huna kitu na sasa una utajiri kiasi hicho?

Mambo ya Mungu huwa hayahitaji uthibitisho. Unachotakiwa kufanya ni kuamini tu
 
Ushahidi wako ujakamilika mr chacha.hebu tueleze hiyo restaurant ako inaitwaje??kwa faida hiyo hata serena hotel hawana hiyo faida..mimi ni tomaso nahitaji uthibiti....sho wa macho.

Atwambie hiyo restaurant iko wapi,na yeye yuko wapi tuthibitishe. Nimetafakari hiyo turnover yake kwa miezi 4 nimeshndwa kupata jibu.

Hii ni marketing strategy,huyu dogo aliingizwa cha kike akanunua hiyo mimaji sasa imekosa soko anaitangaza,anataka tumuulize yanapatikana wapi ili akatuuzie.

Mura INNOCENT CHACHA acha uongo mura!. Tafta njia nyingine ya kudanganya ila hayo maji yaiyooshewa maiti hunishawishi ninunue.
 
Last edited by a moderator:


Hata YESU wayahudi walimuona kuwa ni muongo
 
Last edited by a moderator:
milion 2 ndani ya miezi 3 ni milioni 180 (2 mara 90 = 180)! Inawezekana vipi kwa milion 180 uweze kununua fuso 2, coasta 3 pia ujenge nyumba 2, restraurant 3? Innocent chacha hebu fafanua vizuri.

Hapo ujaweka jumapili ambazo hafanyi kazi,pia ujaingiza gharama za uendeshaji ikiwa pamoja na kodi,mishahara kwa staff ununuzi wa vifaa na ukarabati wa sehemu za kulia KUBWA KULIKO YOTE ETI WATU WANALIA MPAKA CHOONI

DAH KWELI HII NI BIASHARA LIVE
 
Last edited by a moderator:
Alifufuka mkuu ndio maana tunaamini la sivyo ukristo usingekuwepo, na kuhusu kufa msalabani ilikuwa lazima afe ili alipe deni la dhambi zetu ndio maana hakujiokoa. Ila kuna wajanja wachache wanatumia vibaya neema tuliyopewa bure.

Matayo 24 45-46 eloi eloi lamasabakhtani mungu Wang mungu mbona unaniacha ????sasa km yeye alikuwa kafara ili same he we dhambi kwanini alalamike kuwa mungu kamuacha???mbona Hanna logic
 
hahahaa we jamaa kiboko kwa hiyo restaurant yako ina meza hadi bafuni?!

Basi sawa.
 

Kula LIKE mkuu
 

Mkuu, kwa tunaojua neno la Mungu kwa kiasi chake tunajua Mungu ni mwenye utaratibu. Ana taratibu zake na wakati wake wa kufanya mambo. Si kwa upuuzi wa huyu mleta mada.

Cha msingi angeamisha post yake na kupeleka jukwaa la matangazo kama anauza anointing water, angepata wa kuwapata.
 
mwenzako ndicho anachoamini na matokeo yake ndo kama alivyosema. wewe kama huamini uchape tu lapa maana unapingana na ukweli ambao umedhihirika kwake. nyie watu wa jf mna matatizo na mnapenda kufuata mkumbo unacoment kwa kuangalia kwanza mwenzako kasmamia wapi. Angetoa post ya kumponda TBJ mngemuunga mkono asilimia zote. ila hapa huwezi kujua alikuwa amewekeza kiasi gani na akaja kuongeza kiasi gani wewe unakataa tu as if unamfahamu.
 
Lisilowezekana kwa wanadamu linawezekana kwa mungu, kama yesu mwenyewe alibadilisha maji kuwa divai tamu, na akasema mtafanya mambo makubwa kuliko haya kwa kuwa mimi naenda kwa baba, je haistahili aliyeamini kufanya haya? Mfungule fahamu zenu kwa jina la yesu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…