AchanaTazameni Uongo Wa Mathematics
Eti: 8 x 0 = 0
Niko Na Kuku Nane Mara Sifuri Jibu Ni Sifuri Kwahiyo Kuku Zangu Nane Zilienda Wapi....?π€
Tuifanye uachane na kuzidisha hizo Kuku 8 kwa 0,Tazameni Uongo Wa Mathematics
Eti: 8 x 0 = 0
Niko Na Kuku Nane Mara Sifuri Jibu Ni Sifuri Kwahiyo Kuku Zangu Nane Zilienda Wapi....?π€
Genius8 x 1 ni sawa na kusema upeleke vitu vinane sehemu fulani mara moja. Ukipeleka mara moja kutakuwa na vitu vinane.
8 x 2 ni sawa na kusema upeleke vitu vinane vinane sehemu fulani mara mbili. Ukipeleka mara mbili kutakuwa na vitu kumi na sita.
Sasa hiyo 8 x 0 ni sawa na kusema unatakiwa upeleke vitu vinane sehemu fulani lakini usipovipeleka hata mara moja (0) maana yake hapo sehemu hapatakuwa na chochote (sifuri).
Namkubali sana kwenye kufukunyua mambo kama haya.Hakosi huyo bii kizee wako bichwa komwe π
Sifuri imezidishwa mara idadi ya kuku ulio naoHiyo ni 8-8=0, mimi kuku wangu sijawatoa popote wala hawajaibiwa, bali nimewazidisha.
Kama hujawala basi hao huna umewafikiria tu.Nikiwala inakuwa nane kutoa nane ndo wanabaki sifuri, sasa hapo sijala wala kutoa kuku hata mmoja.
Hiyo 0 ni yai la kuku, sasa inabidi ujiulize kati ya kuku na yai ni yupi alianza kuwepo. Maana yake aliyeanza kuwepo ni yai, kwahyo kuku wako wamerudi ndani ya yai. Wala usiwatafuteTazameni Uongo Wa Mathematics
Eti: 8 x 0 = 0
Niko Na Kuku Nane Mara Sifuri Jibu Ni Sifuri Kwahiyo Kuku Zangu Nane Zilienda Wapi....?π€
Kuku unao kizidishio ndio huna ambacho ni 0 ila kuku unao 8 elewa ( 8x0)Sio kweli, kuku sifuri ni huna kuku, kuku wanane ni unakuku wanane, ni vitu viwili tofauti
Njoo bigwa njia pandaKutoka kujadili EPA, escrow ,richmond hadi 8x0 ?? Hakika jf sio tena ile ya mwanzo.
Vigezo vya kujiunga jf viongezwe
Nitakucheki nikiwa naelekea Misongeni kamkubwaNjoo bigwa njia panda
Fanya 0 x 8, yaani zero ziwe 8, unapata ngapi jumla?Tazameni Uongo Wa Mathematics
Eti: 8 x 0 = 0
Niko Na Kuku Nane Mara Sifuri Jibu Ni Sifuri Kwahiyo Kuku Zangu Nane Zilienda Wapi....?π€
Tuende Vatican hujui papa kafa π₯ΊNamkubali sana kwenye kufukunyua mambo kama haya.
Sifuri ni kitu kibaya sana ukijua vizuri! 1,000,000x0=0.Tazameni Uongo Wa Mathematics
Eti: 8 x 0 = 0
Niko Na Kuku Nane Mara Sifuri Jibu Ni Sifuri Kwahiyo Kuku Zangu Nane Zilienda Wapi....?π€
Tazameni Uongo Wa Mathematics
Eti: 8 x 0 = 0
Niko Na Kuku Nane Mara Sifuri Jibu Ni Sifuri Kwahiyo Kuku Zangu Nane Zilienda Wapi....?π€
kwel bhn zimeenda wap???Tazameni Uongo Wa Mathematics
Eti: 8 x 0 = 0
Niko Na Kuku Nane Mara Sifuri Jibu Ni Sifuri Kwahiyo Kuku Zangu Nane Zilienda Wapi....?π€
Nilitaka nieleze hivi ila kama na hapa hajaelewa basi abinywe aseme akili ameweka wapi...!Kuzidisha kwa maana nyingine ni kujumlisha kwa idadi ile unayozidisha...
Mfano 8 x 2 ni sawa na 8 + 8;
8 x 3 ni sawa na 8+8+8;
8 x 0 ni kwamba hio nane yako haujaingoze kwahio ni 0
8 x 1 ni kwamba ni 8 peke yake ambapo jibu ni nane...