DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,878
Mkuu ubeti wa kwanza ilikuwa ni Nyerere, wa pili ni Karume na ubeti wa tatu ni TANU
mbona ASP haikutajwa au ndo itaenda kutajwa kwao?
Mkuu ubeti wa kwanza ilikuwa ni Nyerere, wa pili ni Karume na ubeti wa tatu ni TANU
jamaan msaada naomba mwenye wimbo huo tazama raman utaona nchi nzuri.naupenda sana wimbo huo lkn sijui nitaupata vp.sipo dar mwenye wimbo huo naomba auupload tuupate bse najua wengi wanaupenda.
natanguliza shukran
Nitakapokuwa rais, huu mwimbo Mpemba yeyote anayetaka kuishi Tanganyika atalazimika kuimba asubuhi na jioni. Kwaya Master atakuwa Mohamed Said, mpiga kigoma Elungata na Kakke angekuwa anacheza shoo
mbona ASP haikutajwa au ndo itaenda kutajwa kwao?
Mkuu huo sio wenyewe huo ni "Tanzania Tanzania". Wimbo wa "Tazama Ramani" uko tofauti sana na ni mzuri sana! Na mie natamani niusikie tena.
"Tazama ramani utaona nchi nzuri...
yenye mito na mabonde mengi ya nafakaaa...
nasema kwa kinya halafu kwa kufikiriii (nadhani nimechapia hapa) ....
nchi hiyo mashuhuru huitwa Tanzaniaaaa....
majira yetu hayaaaa ....
yangekuwaje sasaaaaa...
utumwa wa nchiii Nyerere ameukomeshaaaaa...."
Nakushauri uende kwenye radio station yoyote unaweza upata , mm mwenyewe ninautafuta sana ngoja nikikumbuka nitaenda UPLANDS FM NJOMBE nione kama wanao
jamaan msaada naomba mwenye wimbo huo tazama raman utaona nchi nzuri.naupenda sana wimbo huo lkn sijui nitaupata vp.sipo dar mwenye wimbo huo naomba auupload tuupate bse najua wengi wanaupenda.
natanguliza shukran
Tanzanian National Song - YouTube
NADHANI UTAKUWA WENYEWE MAANA PC YANGU HAITOA SAUTI
file attached