Mr Adam Gella
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,327
- 664
Asante kwa elimu
Acha mbwembwe, kupata picha ya surface ya jua usiihusishe na dini hata kidogo, acha sayansi ifanye kazi zake.
Haya ndo walikua wanasema kabla ya ndege kutengenezwa, ati binadamu hatukuumbwa kupaa angani, leo hii kimya. Wewe unakuja na yako
Hehehe mkuu usilete dini kwenye sayansi, hakuna kiumbe kwenye jua, wala hakuna kiumbe chochote ambacho tunajua kinaweza kusustain joto kubwa namba hiyo, jua kwa juu ni 5500C ila kwa ndani kuna pressure kubwa na joto linaweza kufika 15Million C. hakuna kitu chochote kinachoweza kusurvive joto hilo. Na hao viumbe unaoongelea sijui jehanamu, we unahisi jehanamu ni kwenye jua?? labda kasome kitabu chako cha dini vizuri, kama kinasema wanaungua kwenye jua basi kipotezee mbali kabisa.
Em angalia scale ya jua lilivyo kubwa, pale kwenye "Earth" ndo dunia, Ukichukua dunia 1.3Million ndo zitaweza kujaza jua, hao viumbe wako lazima watakua wanaenjoy kinoma.
![]()
mwezi upo kilomita laki 3.8 kutoka hapa tulipo, jua lipo kilomita milioni 149.6, Kwenye mwezi joto ni nyuzi 100 mchana usiku ni baridi sana nyuzi negative 177 centigrade. joto kwenye jua inakisiwa ni nyuzi 5500. Kwenda kwenye mwezi unahitaji mavazi maalumu kujilinda na joto na kemikali zilizopo katika anga ya mwezi. Kwenda juani sidhani kama plan ipo ila kuna vifaa spesho vina zunguuka angani kulichunguza maendeleo yake. jua lina kadiriwa kuwa na umri wa miaka bilion 4.5 hata mwezi pia.
Akili za Mungu hazichunguziki!
aiss...narudi kanisani!!!kama hilo ni jua je ule moto wa milele utakuwaje!?
Leo nilikaa nikawa naangalia chaneli ya Discovery walikuwa na mada ..how does the universe work .. haya mambo ni mazuri sana japo yanafikirisha beyond normal. Kwamba Jupiter ni sayari kongwe kuliko zote na ina zunguka kwenye njia yake (orbit) kwa kasi zaidi ya sayari nyingine yeyote. Na kwamba kwa ndani ina gesi tu za aina mbalimbali zinazohitajika kwa viumbe hapa duniani. Ni kwamba uwepo wa sayari zingine unategemeana na sayari ya Jupiter kwani inafanya kazi ya kuzikinga zingine dhidi ya asteroids na comets. Wanaonesha jinsi ya spidi yake na ukubwa wake unavyosaidia kuzikusanya na kuzivuta kwa spidi kila kinachoingilia huo mfumo na hivyo kusalimisha sayari zingine na jua. Ajabu wanasema miaka kadhaa mbele jua litazima sayari zote zitapotea lakini Jupiter itaendelea kuwepo kwa muda. Wanasema imegunduliwa sayari nyingine sawa na Jupiter na zinafanana sana mpaka wakaipa jina la Jupiter-heart. Hilo jua ukiliangalia kwa ndani unaweza ukahisi ni tanuru la moto fulani alafu kwa ndani ni kama unasafiri kwenye barabara isiyoisha, ni pana saaana.
Wanasayansi hawajagundua kama kuna kiumbe anaeishi hapo katika Jua?!
Pia nimesikia jua si kitu tangible kama ulivyp mwezi au Dunia vile bali ni gas tu so we all see it ila hatuwezi kuishika!! Nikimaanisha waweza rusha jiwe kama litahimili joto liliopp basi laweza tokea upande wa pili!!
Nimeuliza kuhisu viumbe na uwezekano wa kuwepo katika Jua sababu kuna minyoo sijajua ni ya aina gani ila ipp katika Jehanamu ya Moto na inaishi pasipo shida!
Wanasayansi hawajagundua kama kuna kiumbe anaeishi hapo katika Jua?!
Pia nimesikia jua si kitu tangible kama ulivyp mwezi au Dunia vile bali ni gas tu so we all see it ila hatuwezi kuishika!! Nikimaanisha waweza rusha jiwe kama litahimili joto liliopp basi laweza tokea upande wa pili!!
Nimeuliza kuhisu viumbe na uwezekano wa kuwepo katika Jua sababu kuna minyoo sijajua ni ya aina gani ila ipp katika Jehanamu ya Moto na inaishi pasipo shida!
mwezi upo kilomita laki 3.8 kutoka hapa tulipo, jua lipo kilomita milioni 149.6, Kwenye mwezi joto ni nyuzi 100 mchana usiku ni baridi sana nyuzi negative 177 centigrade. joto kwenye jua inakisiwa ni nyuzi 5500. Kwenda kwenye mwezi unahitaji mavazi maalumu kujilinda na joto na kemikali zilizopo katika anga ya mwezi. Kwenda juani sidhani kama plan ipo ila kuna vifaa spesho vina zunguuka angani kulichunguza maendeleo yake. jua lina kadiriwa kuwa na umri wa miaka bilion 4.5 hata mwezi pia.
mshana jr Jua ni matokeo ya mjusi gani?
Acha mbwembwe, kupata picha ya surface ya jua usiihusishe na dini hata kidogo, acha sayansi ifanye kazi zake.
Haya ndo walikua wanasema kabla ya ndege kutengenezwa, ati binadamu hatukuumbwa kupaa angani, leo hii kimya. Wewe unakuja na yako
Kwenye mwezi kuna usiku na mchana....(_177 kwa 100) je kwenye jua hakuna usiku na mchana?
Kwenye mwezi kuna usiku na mchana....(_177 kwa 100) je kwenye jua hakuna usiku na mchana?
Hivi kwanini picha ya objects wa anga ni cyclic..duara. dunia yenyewe duara sayari zingine duara mwezi duara jua duara kwanini