mxyo16
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 1,243
- 760
Picha imepigwa kutoka chombo kinacho uzunguka mwezi upande liliko jua
mwaka 1968 wana anga wa Apollo8 walipiga picha hii bada ya kutua mwezini
na hapa chini ni picha ya hivi karibuni iliyopigwa maili milioni moja kutoka duniani....
Hizi ni picha za NASA kwa walimwengu wote ...zimekuwa published na Daily mail uk...enjoy