Tatua tatizo la uume mdogo

Tatua tatizo la uume mdogo

Shukrani kwa darsa AL ustadh.. Nilitaka kujua baada ya kutumia hiyo kitu uume utaongezeka kwa ukubwa gani?
Yategemea na umbile lako mkuu. Kadri utakavyoendelea na matumizi ndivyo utakavyozidi kuona mabadiliko kiongozi.
 
Tatizo hamna dozi kamili utumie kiasi gani hivyo madhara ya dawa yanaweza kuwa makubwa kuliko matibabu... na kama dawa ikileta madhara nini kitumike kwa ajili ya kuondoa madhara ya dawa? Je dawa imesajiliwa na tfda na kuthibitiika haina madhara kwa mtumiaj.. ndugu zangu tuwe makini na hizi dawa unaweza ukapata uume mkubwa na kuambulia madhara mengine kama kansa..
Usiishi kwa kukariri maisha mkuu muarobaini ni tiba kwa magonjwa arobaini mtu akiumwa homa anachemsha anatumia anapona umepimwa na kuthibitishwa na tfda...?.

Nimeeleza hapo juu mafuta uweke kiasi gani na Hartiti kiasi gani na nimeeleza utumie kwa muda gani sasa kipi usichokielewa hapo ili nikusaidie ndugu...?.
 
Kuchua ni kwa aina gani na kwa dk ngapi?na je haitegemei na umri wa mtu hata kama mzee inawezekana kuongezeka?na je wapi ambako au waliofanikiwa?
Chua kama unavyochua mkono unapopata athari chua mpaka utakapopata msisimko.

Waliofanikiwa unataka nikuelekeze ili wakakuoneshe dhakari zao au unamaanisha nini mkuu hebu fafanua kidogo.

Karibu Sana.
 
Back
Top Bottom