Tatua tatizo la uume mdogo

Tatua tatizo la uume mdogo

Lazima wakutajie vitu ambavyo havipo bara wala visiwani ili uwatafte
Lengo sio kutafutwa lengo ni kusaidia watu waweze kuondokana na tatizo husika ndugu.

Kama kitu kinaitwa saa siwezi kuita gari wakati jina lake ndio hilo. Sasa suala la kufaham au laa ni la mtu binafsi.

Hartiti n nn hyo

Hartiti ndio nn hapo sijapata hata moja
Hartiti ni moja kati ya dawa za kiarabu inayotumika kwa mambo mengi sana.

Jinsi ya kuipata ni kufika kwenye duka lolote like la dawa za asili lililo karibu yako ukiulizia tu Hartiti utapewa na wala sio ghali.

AHSANTA.
 
Naamini Mungu alimpa kila mtu kiasi chake,unaweza'sononeka kwamba una uume mdogo ila still ni mkubwa na tosha na bora mno kwa mwanamke utakaempata,wengine hadi wanakimbia anakaa siku anakutafuta mwenyewe wala sio kwamba unamuhonga hapana,amekukubali kwa shughuli yako.my point is...kijana usijihisi una maumbile madogo hali hii itakuvunja moyo upate matatizo mengine bure,jikubali jinsi ulivyo muhimu kula vizuri,mazoezi kidogo ndiyo maisha ni magumu ila tupunguze stress hakuna saa tutaacha kuwaza nikuyakubali tu maisha ili uweze kuzilinda nguvu zako zisitetereke.@allustadh umesahau kuwaambia kaka kwamba ni vizuri wakiowa maana uzinzi sio mzuri hata kidogo.
Ni kweli kabisa mkuu.

Mungu anapotoa ugonjwa au tatizo ambalo mtu husika anaona kuwa hili ni tatizo pia Mungu akatoa na njia ya kutatua tatizo au ugonjwa husika.

Kama ulivyosema kuwa kwa mengine anaweza akaona ni sawa tu kwa hali aliyonayo anaweza akabaki nayo tu hali hiyo hamna tatizo. Ila kuna wengine wanaona kabisa kuwa hili ni tatizo na yapaswa kutatuliwa kwa njia moja ama nyingine, hawa ndio nnaotaka kuwasaidia mkuu.

Na pia nashkuru kwa rai yako ya kuwakumbusha kuoa ni jambo kwa hakika na nimefurahi kwa hilo, shukran.

AHSANTA.
 
Mm sikatai kupata mdude mkubwa ila tatizo lipo unaweza kupata uume mkubwa baada ya miaka 35 nguvu za uume zikapungua kwa kiwango kikubwa tofaut na kawaida na watu ambao wako kwenye umri huo, sasa ndio unakuwa bwabwa tena mpaka ubustiwe ndipo na ww ukapate ( wasiogonga kabla ya kugongwa ) .
 
Mm sikatai kupata mdude mkubwa ila tatizo lipo unaweza kupata uume mkubwa baada ya miaka 35 nguvu za uume zikapungua kwa kiwango kikubwa tofaut na kawaida na watu ambao wako kwenye umri huo, sasa ndio unakuwa bwabwa tena mpaka ubustiwe ndipo na ww ukapate ( wasiogonga kabla ya kugongwa ) .
Si kweli uyasemayo kiongozi yaweza kuwa ni dhana yako tu ila kiuhalisia haiko hivyo.

Hakuna tatizo liso na tatuzi mkuu.
 
Back
Top Bottom