Tatua tatizo la uume mdogo

Tatua tatizo la uume mdogo

Lazima wakutajie vitu ambavyo havipo bara wala visiwani ili uwatafte
Hartiti zipo,kanzubara zipo,pacholi zipo,pakanga zipo,nenda sokoni kariakoo utapata kila kitu.
Ni sawa na kutafuta zambarau kipindi hiki,ukienda pale kisutu uhindini hakuna msimu wa matunda,nanasi unapata kipndi hiki.
Ondoeni tatuzo lenu,munaliwa ela tu,mkombozi huyo kaja.
 
na huo changanyo na hayo mafuta ni mchanganyo utakaoutumia kila siku kwa hizo siku 21? ama na kesho t
yake itabidi uchanganye mchanganyiko mwingine.

Well, itategemea umechanganya kwa wingi gani mkuu kama utachanganya kidogo itabidi ikiisha uchanganye tena.

Aidha kama utachanganya nyingi kiasi utapata wasaa wa kutumia kwa muda mref kuondoa usumbufu wa kuchanganya mara kwa mara mkuu.

Karibu Sana.
 
je hakuna madhara baada miaka kadhaa mbeleni?!! 2.hiyo dawa inarefusha kwa urefu kiasi gani!!.ama kma ya punda. 3.vp kuhusu uwezo wa kusimamisha vzr hautaathirika?!!.4.je unaweza kutupa evidence kdg kwa watu walioitumia?????

1). Kwa madhara hapana kiongozi wala ustie shaka mkuu.

2). Yategemea na size uliyonayo na jinsi utakavyoendelea na matibabu (kuichua dhakari) ndipo matokeo husika yataweza bainika kwa bayana zaidi.

3). Suala la kusimamisha ni suala la misuli na ndio mana imeshauriwa uchue mpaka utakapopata msisimko i.e Dhakari itakaposhtuka it means utakuwa umeshtua misuli ila chunga usitoke manii. Kwa kufanya hivyo utasaidia kuipa dhakari yako nguvu na wala hakutakuwa na suala la kukosekana kwa uimara ndugu.

4). Hapa unahitaji kuoneshwa dhakari za watu ili ushuhudie au unatakaje kiongozi...?.

Karibu Sana mkuu.
 
Hartiti zipo,kanzubara zipo,pacholi zipo,pakanga zipo,nenda sokoni kariakoo utapata kila kitu.
Ni sawa na kutafuta zambarau kipindi hiki,ukienda pale kisutu uhindini hakuna msimu wa matunda,nanasi unapata kipndi hiki.
Ondoeni tatuzo lenu,munaliwa ela tu,mkombozi huyo kaja.

Nashkuru sana kiongozi kwa kutoa maelezo yaliyothibiti mkuu. Ubarikiwe sana na ningependa kuituma hii nakala kwa member mwenzetu.

Cc Gojaga Nize.
 
ndugu uku artiti wanauza ya kupima wanaweka kwenye karatasi mia mbili kipakti niunga flani wa njano sasa sijui ndo wenyewe ?
 
Tayari nimeshanunua hivyoo vyote na natarajia kuanza dozi ya kuongeza Ukuni baadae ji

Nashkuru sana mkuu.

Ila usisahau kunishkuru utakapofanikiwa baada ya kumaliza tiba kiongozi.

Karibu Sana.
 
ndugu uku artiti wanauza ya kupima wanaweka kwenye karatasi mia mbili kipakti niunga flani wa njano sasa sijui ndo wenyewe ?

Mkuu, kwani hiko kikopo cha Hartiti ni kiasi gani cha fedha kiongozi ni 1500 au imezidi sana ni 2500 sasa kwa nini usinunue kikopo kizima ukatumia kwa uendelevu kiongozi...?.

Unadhani hiyo gharama ya pesa unayotoa na ukubwa wa tatizo ulilonalo wadhani vinalingana mkuu...?. Ungepata dawa ya hilo tatizo kwenye hospitali usingeambiwa hiyo bei 2500 kiongozi.

Think Twice Bro.
 
Tayari nimeshanunua hivyoo vyote na natarajia kuanza dozi ya kuongeza Ukuni baadae ji

Jumla ya zote hizo umenunua kwa bei gani? tupe faida na sisi wengine kabla vijihela havijakwisha ili tukanunue kusudi tuongeze heshima hapa mjini,maana naona dharau zimezidi,kila siku oohoo bamia, bamiaa,sasa nataka niwe na tango mie nisikie watasemaje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom