Tatua tatizo la uume mdogo

Tatua tatizo la uume mdogo

ASSALAMU ALAIKUM
Nakupongeza kwa utafiti na ubunifu wa tiba yako.
Ndugu Ustadh kuwa na uume mdogo au mkubwa siyo kasoro ni maumbile mtu aliyoumbiwa na MUNGU.
Basi kwa nini kuna watu warefu na wafupi?Wanene na wembamba?
Je unaweza kuongeza kimo cha mtu mfupi? Au kupunguza kimo cha mtu mrefu?
Kwa maumbile hayo tuliyoumbiwa isipokuwa tu kwa wenye matatizo ya afya, yatupasa tuzingatie yafuatayo;
Kwanza, Jikubali na ridhika na jinsi ulivyo.
Pili, jiamini kwamba wewe ni mkamilifu na unaweza.
Tatu, Jitahidi kuwa mbunifu jinsi ulivyo.
Kwa kuzingatia hayo bila kujali maumbile yetu mmoja anaweza kufanya chochote kilicho chema kwa UFANISI ULIO TUKUKA.
 
1). Kwa madhara hapana kiongozi wala ustie shaka mkuu.

2). Yategemea na size uliyonayo na jinsi utakavyoendelea na matibabu (kuichua dhakari) ndipo matokeo husika yataweza bainika kwa bayana zaidi.

3). Suala la kusimamisha ni suala la misuli na ndio mana imeshauriwa uchue mpaka utakapopata msisimko i.e Dhakari itakaposhtuka it means utakuwa umeshtua misuli ila chunga usitoke manii. Kwa kufanya hivyo utasaidia kuipa dhakari yako nguvu na wala hakutakuwa na suala la kukosekana kwa uimara ndugu.

4). Hapa unahitaji kuoneshwa dhakari za watu ili ushuhudie au unatakaje kiongozi...?.

Karibu Sana mkuu.
mkuu nimeanza matibabu leo na nina mwenzi wangu je naruhusiwa kushiriki "mechi ya kirafiki"
 
Siku 21 bado tu tupate mrejesho, kwani si hata siku 10 si inatosha kuona mabadiriko, au mpaka itimie siku 21?

Hutegemea mtu na mtu mkuu kama athari ni kubwa yakubidi utumie zaidi ya hizo siku kuweza kupata matokeo yaliyo mazuri zaidi.

Kwa hivyo usifanye haraka pindi unapotumia tiba coz even psychologically utaweza kuwa affected mara utapoona matokeo yakichelewa utaweza kujivunja moyo mwenyewe mkuu.

Kwa hiyo vuta subra utapata tu mrejesho soon kiongozi.

Shukran.
 
mkuu nimeanza matibabu leo na nina mwenzi wangu je naruhusiwa kushiriki "mechi ya kirafiki"

Ni vyema zaidi kama una mwenzi wako yashauriwa ukashiriki nae tendo pasina tatizo huongeza ufanisi zaidi.

Shukran Sana.
 
Utupe mrejesho mkuu sio nawe upotee

Mbona mmekazania sana mirejesho wakuu it means kama mtumiaji anatakiwa kuendelea na tiba kutokana na tatizo alilonalo itakufanya wee usianze dozi kiongozi wakati yaweza kuwa matatizo yanatofautiana mkuu.
 
Psychology ndo inayotutia umasikini mara nyingi. ....Mr. Hartiti atajivunia wateja hapa maana wengi tumeathirika kisaikologia.....sijui wenzangu huwa wanajifananinsha na mandingo? Ila binafsi Hartiti yangu nakomaa nayo hivo hivo nikiona hali tete ntaingiza hata miguu
 
Psychology ndo inayotutia umasikini mara nyingi. ....Mr. Hartiti atajivunia wateja hapa maana wengi tumeathirika kisaikologia.....sijui wenzangu huwa wanajifananinsha na mandingo? Ila binafsi Hartiti yangu nakomaa nayo hivo hivo nikiona hali tete ntaingiza hata miguu
Lengo si kuvuna wateja kiongozi lengo ni kusaidia mkuu.

Shukran.
 
Back
Top Bottom