ndugu uku artiti wanauza ya kupima wanaweka kwenye karatasi mia mbili kipakti niunga flani wa njano sasa sijui ndo wenyewe ?
Na olive oil wanauza bei gani?
ndugu uku artiti wanauza ya kupima wanaweka kwenye karatasi mia mbili kipakti niunga flani wa njano sasa sijui ndo wenyewe ?
Asisahau na pilipili ni dawa nzuri sana ukipaka kutwa mara tatudawa ni upupu tu..unapaka mara tatu kwa siku...Matokeo utayapata na naamini utanipenda
Jumla ya zote hizo umenunua kwa bei gani? tupe faida na sisi wengine kabla vijihela havijakwisha ili tukanunue kusudi tuongeze heshima hapa mjini,maana naona dharau zimezidi,kila siku oohoo bamia, bamiaa,sasa nataka niwe na tango mie nisikie watasemaje
mjomba unataka V 12 hahahhahahahha![]()
Hapana mi nataka V 8
Olive nimenunua ya elfu kumi na hartiti nimenunua kopo moja 2500.........vote nimenunua kwa muhindi Disut maana Niko Arusha Karina na jogoo houseJumla ya zote hizo umenunua kwa bei gani? tupe faida na sisi wengine kabla vijihela havijakwisha ili tukanunue kusudi tuongeze heshima hapa mjini,maana naona dharau zimezidi,kila siku oohoo bamia, bamiaa,sasa nataka niwe na tango mie nisikie watasemaje
Yah bro hata nilipofika kwa muhindi kaniambia kuna watu wawili wamenunua na mmoja kaskia dawa jamii forum kaka wananunua wote ila wanaogopa kusema...sante na nimeanza dozi kaka...AsanteNashkuru sana mkuu.
Ila usisahau kunishkuru utakapofanikiwa baada ya kumaliza tiba kiongozi.
Karibu Sana.
Yah bro hata nilipofika kwa muhindi kaniambia kuna watu wawili wamenunua na mmoja kaskia dawa jamii forum kaka wananunua wote ila wanaogopa kusema...sante na nimeanza dozi kaka...Asante
Olive nimenunua ya elfu kumi na hartiti nimenunua kopo moja 2500.........vote nimenunua kwa muhindi Disut maana Niko Arusha Karina na jogoo house
Yah bro hata nilipofika kwa muhindi kaniambia kuna watu wawili wamenunua na mmoja kaskia dawa jamii forum kaka wananunua wote ila wanaogopa kusema...sante na nimeanza dozi kaka...Asante
mkuu hii hartiti inakuwa ni ya unga ama ya mafuta?Tena kichupa ni 2500 tu