Mtuma post anaonekana dhahir kuwa chuki na majungu ndio dhamira yake mkubwa.kwa halmashauri ya kibaha vijijni INA kipato gani kikubwa mpaka mkurugenzi afikie hatua ya kujilipa Milioni tatu kila wiki? Mm nadhani labda angetuletea na vielelezo ili aweze kituaminisha khs hilo suala.lkn pili anasema mkurugenzi amekula million 90 za uchaguz,wakati anakula mtuma post alikua wapi? Mm nadhani nyuma post hana busara na yupo ktk kumchafua mtu tu kwa faida yake binafsi,kama aliyaona hayo madudu ziko mamlaka husika zina Zao shughuli ni hayo masuala angeripot muafaka ungepatikana na si jamii forum.Pia akumbuke kuwa Magufuli hatumbui majipu kwa style hiyo anachunguza na mwisho ndio anakutumbua.Mm kwa mtazani wangu mtuma post amekurupuka kwa chuki zake binafsi na anaonyesha ana majungu tu.