sexologist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 2,283
- 976
Tatizo la CCM ni mawazo ya kizee na matendo ya kibepari. Kabla ya kubadili uongozi, kwanza wabadili fikra zao juu ya taifa la sasa la tz.. Wasiendelee kuamini kwamba mtanzania wa sasa ndio yule yule wa zamani, wa "ndio mzee" kwa kila kitu.. Watu wanataka kuhoji kwa kila kitu na si kupelekeshwa.