Tatizo Nini

Meritta

JF-Expert Member
Apr 26, 2011
1,303
293
Mambo niaje wana jamvi, kuna kitu ningependa tuchangiane mawazo.ivi inakuaje mpaka mtu anapoteza ladha aliokuwa anaipata kutoka kwa mpenzi wake. Hapa nina maana kuwa msichana au mvulana kutokuwa na hisia za kimapenzi juu ya mpenziwe. kuna ndugu yangu ameniambia kuwa siku izi amekuwa hana hisia hata kidogo juu ya mpanzi wake na anamuna kama mtu wa kawaida sana ila hajajua tatizo ni nini....ivi inakuaje haya mambo naomba mchango wenu.
 
Hiyo ni kawaida kabisa. Ni asili ya binadamu kupungukiwa au kuishiwa na hamu ya kitu au vitu fulani. Na hii wala si ngumu kutambua. Katika maisha tu ya kila siku hata wewe mwenyewe hii hukutokea na huhitaji kubadilisha. Sasa ikija kwenye mapenzi sijui kwa nini mizozo huzuka.
 
Mambo niaje wana jamvi, kuna kitu ningependa tuchangiane mawazo.ivi inakuaje mpaka mtu anapoteza ladha aliokuwa anaipata kutoka kwa mpenzi wake. Hapa nina maana kuwa msichana au mvulana kutokuwa na hisia za kimapenzi juu ya mpenziwe. kuna ndugu yangu ameniambia kuwa siku izi amekuwa hana hisia hata kidogo juu ya mpanzi wake na anamuna kama mtu wa kawaida sana ila hajajua tatizo ni nini....ivi inakuaje haya mambo naomba mchango wenu.

Have they been breaking the sixth commandment na ni religious? this can be a contributing factor...after the act u fell xo empty inside and a dislike towards your partner grows..ooops, elmmie nt go far...shed a lil more light to ur problem miss Maswaga (i fil lyk i know u...)ndo niweze kuongea facts and not specualtions!
 
Kufanya kitu kile kile, wakati ule ule, sehemu ile ile, yaani leo kama jana kama juzi lazima hamu iishe.
Kuishi kwa mazoea kunapunguza hamu, muishi kwa namna ambayo mpenzi wako hajui kesho kutakuwa na nini katika maisha yenu ya kimahusiano.
Kila siku iwe ni siku mpya hata kama yatafanyika yale yale yafanywe kiutofauti.
 
Chanzo cha matatizo haya ni kuwa mwanzo kilichowafanya mkawa pamoja ni mwili sio upendo,haya matatizo yanawapata vijana wengi sana!
 
Hiyo ni kawaida kabisa. Ni asili ya binadamu kupungukiwa au kuishiwa na hamu ya kitu au vitu fulani. Na hii wala si ngumu kutambua. Katika maisha tu ya kila siku hata wewe mwenyewe hii hukutokea na huhitaji kubadilisha. Sasa ikija kwenye mapenzi sijui kwa nini mizozo huzuka.

labda kwenu jaman?kwangu ndio kama kumekucha
 
mapenzi yanatakiwa utundu pia sio mnakua vile vile tu kila siku lazima mtachokana! ikitokea kila siku unamuona mpenzi wako mpya yani kama mmejuana jana vile, mambo yanakua saaafi! sasa wewe unakuta mpenzi wako tokea umemjua staili ya kuvaa ileile,mapishi yale yale, kitandani style zile zile tatu za kila siku, kutembea kila siku anapendelea paleple,mawazo yake nayo yale yale. kwanini usiboeke
 
Mambo niaje wana jamvi, kuna kitu ningependa tuchangiane mawazo.ivi inakuaje mpaka mtu anapoteza ladha aliokuwa anaipata kutoka kwa mpenzi wake. Hapa nina maana kuwa msichana au mvulana kutokuwa na hisia za kimapenzi juu ya mpenziwe. kuna ndugu yangu ameniambia kuwa siku izi amekuwa hana hisia hata kidogo juu ya mpanzi wake na anamuna kama mtu wa kawaida sana ila hajajua tatizo ni nini....ivi inakuaje haya mambo naomba mchango wenu.

kama shule ipo kuna law 1 state that.,. The marginal utility of any item tends to decline as more and units of the item is consumed.
sasa ndo kinachoku/msumbua.
 
Kufanya kitu kile kile, wakati ule ule, sehemu ile ile, yaani leo kama jana kama juzi lazima hamu iishe.
Kuishi kwa mazoea kunapunguza hamu, muishi kwa namna ambayo mpenzi wako hajui kesho kutakuwa na nini katika maisha yenu ya kimahusiano.
Kila siku iwe ni siku mpya hata kama yatafanyika yale yale yafanywe kiutofauti.

Husninyo kama sijakosea hapa,
nadhani umelenga moja kwa moja kwenye kupeana vikojoleo au sio?
 
Mambo niaje wana jamvi, kuna kitu ningependa tuchangiane mawazo.ivi inakuaje mpaka mtu anapoteza ladha aliokuwa anaipata kutoka kwa mpenzi wake. Hapa nina maana kuwa msichana au mvulana kutokuwa na hisia za kimapenzi juu ya mpenziwe. kuna ndugu yangu ameniambia kuwa siku izi amekuwa hana hisia hata kidogo juu ya mpanzi wake na anamuna kama mtu wa kawaida sana ila hajajua tatizo ni nini....ivi inakuaje haya mambo naomba mchango wenu.

Nyumba ndogo inamchanganya, aachane nayo.
 
Ndo maana nilisema ni vizuri kupenda kabla ya kutamani badala ya kutamani ndo ufikirie umependa!!
Huyo either ameshapata alichotamani sasa hakimtamanishi tena au kile alichotamani hakipo hivyo anamuona mwenzie yupo yupo tu!
 
Ndo maana nilisema ni vizuri kupenda kabla ya kutamani badala ya kutamani ndo ufikirie umependa!!
Huyo either ameshapata alichotamani sasa hakimtamanishi tena au kile alichotamani hakipo hivyo anamuona mwenzie yupo yupo tu!

Tamaa haina mwisho
Alichokipata kitachuja atatamani kingine
 
mapenzi yanatakiwa utundu pia sio mnakua vile vile tu kila siku lazima mtachokana! ikitokea kila siku unamuona mpenzi wako mpya yani kama mmejuana jana vile, mambo yanakua saaafi! sasa wewe unakuta mpenzi wako tokea umemjua staili ya kuvaa ileile,mapishi yale yale, kitandani style zile zile tatu za kila siku, kutembea kila siku anapendelea paleple,mawazo yake nayo yale yale. kwanini usiboeke

iyo pia inachosha hasa ukikuta mwanamke anapenda starehe ila mpenziwake hana hata starehe aipendayo
 
Mambo niaje wana jamvi, kuna kitu ningependa tuchangiane mawazo.ivi inakuaje mpaka mtu anapoteza ladha aliokuwa anaipata kutoka kwa mpenzi wake. Hapa nina maana kuwa msichana au mvulana kutokuwa na hisia za kimapenzi juu ya mpenziwe. kuna ndugu yangu ameniambia kuwa siku izi amekuwa hana hisia hata kidogo juu ya mpanzi wake na anamuna kama mtu wa kawaida sana ila hajajua tatizo ni nini....ivi inakuaje haya mambo naomba mchango wenu.


Hapo hayakua mapenzi bali Lust.. na lust does not dumu forever but love does...BUT hao watu kama ni married that is another issue.
 
Hapo hayakua mapenzi bali Lust.. na lust does not dumu forever but love does...BUT hao watu kama ni married that is another issue.

Hapana sio wanandoa ni wapenzi tu. ila mi naisi uaminifu umepotea ndo maana mapenzi yameisha
 
Back
Top Bottom