King Sae
JF-Expert Member
- Mar 22, 2018
- 2,835
- 5,346
Pc yngu imekumbwa na matatizo yafuatayo naombeni msaada wenu.
1: sensor ya caser imeacha kufanyaa kaz ghafra tu yaan haisens kabsa huwa natumia mouse tu japo spendi.
2: kuna baadhi ya keypad hazibonyezeki kabsa.
3: na juzi nimeshangaa nikibonyeza keypad inatoa sauti afu hairespond chochote adi ubonyeze mara mbili kwa kukandamiza kidogo ndo itarespond.
Nashindwa ata kuandka mambo yangu,nmejarbu kutumia external keyboard lakini haijasaidia tatizo lipo palepale.
1: sensor ya caser imeacha kufanyaa kaz ghafra tu yaan haisens kabsa huwa natumia mouse tu japo spendi.
2: kuna baadhi ya keypad hazibonyezeki kabsa.
3: na juzi nimeshangaa nikibonyeza keypad inatoa sauti afu hairespond chochote adi ubonyeze mara mbili kwa kukandamiza kidogo ndo itarespond.
Nashindwa ata kuandka mambo yangu,nmejarbu kutumia external keyboard lakini haijasaidia tatizo lipo palepale.