Tatizo liko wapi mbona siitwi kwenye interview?

Tatizo liko wapi mbona siitwi kwenye interview?

Slaker

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2012
Posts
237
Reaction score
31
Tangu mwaka jana ,nianze kutuma barua posta, sijawahi kuitwa interview hata moja kwa barua ninazo zituma kwa kutumia posta.

Wajuzi wa mambo naombe mnijuze tatizo litakuwa nini apo nakosea kutuma au huwa hazifiki

Mara ya mwisho tulituma mkono kwa mkono na rafiki yangu,yeye kaitwa interview na me me nika achwa solemba

Ama kwelI mikosi duniani ipo
 
tangu mwaka jana ,nianze kutuma barua posta, sijawah kuitwa interview hata moja kwa barua ninazo zituma kwa kutumia posta,
wajuz wa mambo naombe mnijuze tatizo litakuwa nin apo?
nakosea kutuma au huwa hazifiki?
mara ya mwisho tulituma mkono kwa mkono na rafiki yangu,yeye kaitwa interview na me me nika achwa solemba

ama kwel mikosi dunian ipo
Usijilaani mwenyewe,muda wako ukifika utaitwa na kupata kazi.
[HASHTAG]#Jiandae[/HASHTAG]
 
Jiulize mwenyewe unajua kuandika barua ya kisomi. Isijekuwa barua zako mtu akitazama heading tu anatupa kule. Je CV yako umeandaa ipasavyo kiasi inaonyesha what you have? Unaweza kudhani ni vitu vidogo lkn vina mata
 
Tangu mwaka jana ,nianze kutuma barua posta, sijawahi kuitwa interview hata moja kwa barua ninazo zituma kwa kutumia posta.

Wajuzi wa mambo naombe mnijuze tatizo litakuwa nini apo nakosea kutuma au huwa hazifiki

Mara ya mwisho tulituma mkono kwa mkono na rafiki yangu,yeye kaitwa interview na me me nika achwa solemba

Ama kwelI mikosi duniani ipo

Kama unatuma kwa njia ya kawaida na si EMS, yawezekana barua zako hazifiki kabisa au zinafika baada ya muda wa deadline kuisha. Hivyo ni vyema ukatumia njia bora kama EMS au Kupeleka moja kwa moja. Vinginevyo subiri wakatik wako ukifika utapata
 
Tangu mwaka jana ,nianze kutuma barua posta, sijawahi kuitwa interview hata moja kwa barua ninazo zituma kwa kutumia posta.

Wajuzi wa mambo naombe mnijuze tatizo litakuwa nini apo nakosea kutuma au huwa hazifiki

Mara ya mwisho tulituma mkono kwa mkono na rafiki yangu,yeye kaitwa interview na me me nika achwa solemba

Ama kwelI mikosi duniani ipo
Sio kila anayetuma barua (ya maombi) ataitwa kwenye interview. Kumbuka watuma maombi wanaweza kuwa wengi sana kwa mwajiri kuweza kuwaita wote kwenye interview.

Kwa hivyo kutegemeana na aina ya kazi na idadi ya waombaji, mwajiri anaweka vigezo fulani ili kuweza kufanya mchujo wa kwanza na kubakia na waombaji wachache ambao anaona ataweza kumudu kuwafanyia interview.

Kila mwajiri anaweza kuweka vigezo vyake (katika huo mchujo wa kwanza). Inaweza kuwa aina ya ujuzi/elimu, kiwango cha ufaulu, viwango vya elimu (kwa kuangalia vyeti vya shule), muda wa uzoefu na hata jinsia, umri nk.
 
Ulikotuma barua walitangaza nafasi za kazi au ulikuwa unajaribu jaribu tu kwenye organization mbalimbali? Je ulikuwa unazingatia maelekezo mfano deadline, barua iandikwe kwa mkono, barua itumwe kwa njia ya posta/barua pepe na mengineyo?
Mwandiko wako vipi unaita au ni kama wa Dr.?
yote kwa yote nakupa moyo kwamba usijilaani, wakati ukifika utaitwa tena hata kwa tarehe za kufanana ukaitwa kwenye organization zaidi ya moja kiasi cha kushindwa uende wapi.
Kila kitu kina wakati wake, usikate tamaa
 
Tangu mwaka jana ,nianze kutuma barua posta, sijawahi kuitwa interview hata moja kwa barua ninazo zituma kwa kutumia posta.

Wajuzi wa mambo naombe mnijuze tatizo litakuwa nini apo nakosea kutuma au huwa hazifiki

Mara ya mwisho tulituma mkono kwa mkono na rafiki yangu,yeye kaitwa interview na me me nika achwa solemba

Ama kwelI mikosi duniani ipo
Mkuu akuna linaloshindika machoni kwa BWANA usikome kupeleka hitaji lako mikononi mwake ( Yer 33:3)
 
Angalia uandish wako wa barua ya kikazi, mwandko, heading, na fupisha barua zako isiwe kama gazeti, pia jtahd kutuma kwa EMS na kingne jtahd kuamini kuwa IPO siku mungu atakusaidia!
 
Kama unatuma kwa njia ya kawaida na si EMS, yawezekana barua zako hazifiki kabisa au zinafika baada ya muda wa deadline kuisha. Hivyo ni vyema ukatumia njia bora kama EMS au Kupeleka moja kwa moja. Vinginevyo subiri wakatik wako ukifika utapata
Si kweli...barua zangu zote za kuomba kazinhuwa natumia njia ya kawaida na kila interview huwa sikosi
 
Mkuu akuna linaloshindika machoni kwa BWANA usikome kupeleka hitaji lako mikononi mwake ( Yer 33:3)
Mbona watu wanaomba wapone na wanakufa..mbona watu wanomba washinde na wanashindwa!!!
 
Mungu yupo ndugu don't give up tym itafka tu utaitwa kwenye usaili
 
[HASHTAG]#FreeMaxenceMelo[/HASHTAG]
[HASHTAG]#BringBackBenAlive[/HASHTAG]
[HASHTAG]#JusticeforLema[/HASHTAG]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom