TECHMAN
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 2,649
- 1,128
Najua humu ndani kuna watu wa aina nyingi sana.wapo wanaoweza kunisaidia tatizo langu.na wapo wanaptweza kudharau na kunikebeh
Umri wangu ni miaka 29 sasa.kila nikipata mwanamke nikikaa naye sana ni miezi miwili.naanza kumwona hanifai.na sio kwamba nado nao hapana.tukiwa tu ktk mahusiano.
JE TATIZO LANGU NO NINI HAPO?
Kama hujajua tatizo lako ni nini unataka tukushauri nini? Mimi naona huna tatizo lolote, we kula maisha tu, ukae na demu miaka kwani mkeo? ukifikisha miaka 45 au 50 ndo ujaribu kutulia kidogo angalau ukae na demu miezi sita.