Raphael gadau
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 1,007
- 306
Simu yangu ni Huawei Y625 inatatizo la kujizima yenyewe wakati natumia inaandika betry high temperature hafu inajizima tatizo hili limeanza leo asubuhi
Naombeni msaada wenu[emoji122] nifanyeje kusitisha hili tatizo, nimeandka kiufupi maana inazima muda wowote
Naombeni msaada wenu[emoji122] nifanyeje kusitisha hili tatizo, nimeandka kiufupi maana inazima muda wowote