A.J
Senior Member
- Jun 9, 2015
- 139
- 147
Habari zenu ndugu.
Naomba msaada wenu kuhusu ishu ya sauti kwenye Laptop yangu.
Kuna siku nilimuachia dogo laptop sasa akajaribu kuconnect sauti isikike kwenye Subwoofer, alipounganisha ikatoa sauti ila alipotoa zile nyaya za kuunganisha sauti kutoka kwenye PC kwenda kwenye Subwoofer ndio sauti ikaondoka mazima.
Naomba msaada wenu kuhusu ishu ya sauti kwenye Laptop yangu.
Kuna siku nilimuachia dogo laptop sasa akajaribu kuconnect sauti isikike kwenye Subwoofer, alipounganisha ikatoa sauti ila alipotoa zile nyaya za kuunganisha sauti kutoka kwenye PC kwenda kwenye Subwoofer ndio sauti ikaondoka mazima.