elvis richard
Senior Member
- Dec 6, 2014
- 195
- 205
kuna baadhi ya ingredients nahitaji kuhakiki namna ya kuzichanganya kama sijasahau, ngoja natafuta namba ya daktari kwenye group fulani anielekeze vizuri. Isije nikachanganya mafaili, maana ni kama miaka miwili imepita tangu nimetengeneza iyo dawa