redio
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 5,139
- 11,507
MO kanunua mechi mbaka kaamua kutimua mbio baada ya kuona atafilisika
kwaiyo Simba wavumilie kwa miaka 4 Kama Yanga walivyo onyesha uvumilivu kwa miaka 4.
Msimu uliopita goli halali la Yanga lilikataliwa dhidi ya Namungo na ikasemekana mwamuzi ni binadamu ndio maana alikosea, Sasa wasisahau ata Jana mwamuzi alikua binadamu.
kwaiyo Simba wavumilie kwa miaka 4 Kama Yanga walivyo onyesha uvumilivu kwa miaka 4.
Msimu uliopita goli halali la Yanga lilikataliwa dhidi ya Namungo na ikasemekana mwamuzi ni binadamu ndio maana alikosea, Sasa wasisahau ata Jana mwamuzi alikua binadamu.