Kitendo cha kuiba kura, jiwe aombe radhi tu, kimejidhiirsha sana, kinakosesha raha, ujasili, heshima, utu, kinadharulisha sana, kwa sasa hata mtendaji akiiba unamwangalia anayekemea uovu huo, unaona wote sawa tu, hamna mwenye haki ya kukemea wezi kwa kuwa wote wezi na wapo hapo kwa njia ya wizi, ni dharau sana, hata ukali wake sasa hivi unadharaulika!