mtaa umetulea
JF-Expert Member
- Nov 17, 2020
- 1,719
- 2,165
Comment bora kabisa hii kweny Uzi huuMkuu wala usihofu, huo sio ugonjwa...
Comment bora kabisa hii kweny Uzi huuMkuu wala usihofu, huo sio ugonjwa...
Shukran mkuuComment bora kabisa hii kweny Uzi huu
Basi ushauri wa bure kula karanga siku mbili au moja kabla ya kutiana, ikishindikana achana na wanawake tafuta hela vinginevyo utakunywa dawa harafu hata kimoko utashindwa kupiga,Hata mkuu nikibadilisha Hali ni ile ile
Kwa mtu huyo huyo au?Habari wakuu mimi kijana wa miaka34 nina shida ya kushindwa kurudia raundi ya pili katika tendo kwa miaka 10 Sasa naraund ya kwanza ni dk8 nimemaliza na siwezi rudia Tena hata iweje mpaka baada ya masaa nane.
Huyo mbona mzima anapiga mpaka dk8 si mchezoHapo utasema unajuwa kucheza mpira? Au unasaidiwa na upepo kukusukumia upande wa adui?
Yeye anahitaji suluhu ya kiafya. Sio ushindi wa msaada wa refa .
HakikaHuyo mbona mzima anapiga mpaka dk8 si mchezo
Tatzo ni wanawake hajapata fundi huyo
SahihiMi huwa napiga goli moja tuuu KWA mke wangu kwa dakika 13 lakini anakuwa kashakojoa za kutosha kabla hata dakika kumi hazijafika...akikojoa namalizia kokojoa dk chache zilobaki....IDADI YA MAGOLI SIYO ISHU,
Hujamwelewa......Mkuu jitahidi upate game time za kutosha.
Dk 13 uwanjani ni ndogo sana kumaliza mchezo.
Siku mkeo akikutana na wahuni ,,ndy utakapojuwa sio watu wazuri ,,
Wewe km mimi tuTosheka kijana. Goli moja mbona Baridi tu. Mm mwenzako hata hilo moja halitoki mwanamke ananiambia ameshafika anataka apumzike. Najikuta namlizisha yeye tu mm dude bado lipo wima.
Nimemuelewa sn mkuu..Hujamwelewa......
Naitumiaga hii unachia kimoko chap hapo babu ikinuka tena hukojoi had kesho yake mnakua mnapumzika mnaendelea tu bao haliji tenaWataalam wanasema ukiona mazingira ya kiwanja sio badili kiwanja.
Toka nenda kalale na mpenzi wako hotel kali
Full ice mizuka lazima ije
Ukiona tatizo bado
Badili mchezaji uwenda nafsi yako inapenda misambwanda lakini kwa bahati mbaya umebet kwa betina
Au unapenda betina lakini umebet kwa msambwanda
Chochora sio mbaya kupiga ndondo kuset mitambo
Ahhh mapenzi ya kuunganisha 1,2,3
Kwa fasta fasta inategemea na mtoto mwenyewe mautundu yake
Lakini kidume unapiga kimoko fasta alafu unatulia hata masaa 2
Mchuchu aende akaoge kabisa apige na udi wake arudi ground
Na ww nenda kaoge kabisa rudi ground anza kucheza mdogo mdogo kula mbakishie baba uku story kibao kama boya hivi
Muda si muda buster itahamka usiwe na haraka kama fundi viatu
Endelea kuzuga tu , mbaka shaft utaistukia ipo pangoni hapo baba lazima uchukue lisaa limoja ndio filimbi ipigwe ya mapumziko…
Mm ndio maana nimeamua niachane na wanawake kabisa. Nikivaa ndom ndio chombo haimwagi kabisa. lazima nikirudi nimalizie nyeto tu.Wewe km mimi tu
Nikitumia ndomu ndo kabisa.
Vipi ikiwa mwanzo ulikuwa vizuri baadae ukayumba unajitibia kwa njia hii?Hormone ya testosterone ipo chini hii ndio homon ya hamu ya kugegeda inatibika kwa njia ya asili matunda tangawiz au majimoto mimi niliwai kua kawewe nikapona sasa hivi nikikaa kifuan kwa shemeji yako bila goli tano sitatoka.