Dalili hizi zinamaanisha nini? Naomba ushauri tafadhali

Kipondo Cha ugoko

JF-Expert Member
Apr 12, 2023
655
1,042
Wakuu habari za humu!

Naomba niende kwenye mada- ni wiki ya pili sasa Toka nianze kuona dalili ambazo kiukweli zinanipa wasiwasi na leo nimeona jiingie humu jukwaani kupata ushauri wa kitalamu au kimawazo kutoka kwa wataalamu wa humu ndani.

Hapo kati nilipata homa Kali sana japo haikunilaza kitandani kwani Mimi nakuaga mbishi sana kulazwa na homa, lkn kiukweli homa hiyo ilinipiga haswa wakati napambana na homa nilianza kuhisi maumivu makali sana ktk mguu wangu wa kushoto chini ya unyayo kabisa. Maumivu hayo mithili nimekanyaga Kaa la moto.

Maumivu hayo yalidumu kama siku nne then yakapotea nadhani baada ya kupata unafuu wa homa iliyokua imenikamata. Sasa basi kwa kipindi chote nilichokua naumwa hiyo homa sikuweza kushiriki tendo la ndoa na wife.

Sasa kilichonifanya nije kuomba ushauri ni baada ya kuona dalili ya tofauti kbs ninaposhiriki tendo la ndoa, namwaga wazungu ndani ya mda mfupi sanaaaa tofauti na zamani, nashindwa kurudia tendo, now day imefikia hatua rungu linasimama vzr lkn kitendo Cha kuchomeka tu mzigo unaishiwa nguvu, hisia zangu zimekua za kuhangaika sana.

Hali hii kiukweli inanifanya nijihisi mnyonge sana but shemeji yenu ananipa moyo kwamba nitakaa sawa lkn kama mjuavyo ujanja wote wa mwanaume hi hapo(heshima ya ndoa😅)

Sasa umekatika mwezi Toka nione hizo dalili na sijaona mabadiliko ya kurejea ktk Hali yangu ya kawaida.

Kitu kingine ambacho nimekuwa nikiki note kwa kipindi chote hicho ni kupata pia maumivu upande wa kushoto wa kifua hasa nikiinama, maumivu nayopata ni kama nimechuliwa na dawa ya volin, maumivu hayo some time yanasambaa mpaka katikati ya kifua (kwenye mstari) yanashuka chini kwenye (kimeme) sijui ndio chemba moyo? Watalamu watanisaidia hiyo sehemu inaitwaje.

Sasa wakuu Niko njia panda je hiyo ni shida Gani? Je pengine nanyemelewa na ugonjwa Gani? Je performance kwenye tendo la ndoa kushuka inasababishwa na nini?

Nisiwachoshe plz msaada.
Kuhusu umri Mimi ni kijana tu nipo kati ya 25-31
 
Wakuu habari za humu!

Naomba niende kwenye mada- ni wiki ya pili sasa Toka nianze kuona dalili ambazo kiukweli zinanipa wasiwasi na leo nimeona jiingie humu jukwaani kupata ushauri wa kitalamu au kimawazo kutoka kwa wataalamu wa humu ndani.
pengine nanyemelewa na ugonjwa Gani? Je performance kwenye tendo la ndoa kushuka inasababishwa na nini?

Nisiwachoshe plz msaada.
Kuhusu umri Mimi ni kijana tu nipo kati ya 25-31
Mkuu Pole sana una upungufu wa nguvu zako za kiume nione mimi kwa wakati wako ili nipate kukutibia upate kuwa na nguvu za kiume vizuri kiasi cha kuweza kumfikisha mke wako kileleni uguwa pole.
 
Kitu kingine ambacho nimekuwa nikiki note kwa kipindi chote hicho ni kupata pia maumivu upande wa kushoto wa kifua hasa nikiinama, maumivu nayopata ni kama nimechuliwa na dawa ya volin, maumivu hayo some time yanasambaa mpaka katikati ya kifua (kwenye mstari) yanashuka chini kwenye (kimeme) sijui ndio chemba moyo? Watalamu watanisaidia hiyo sehemu inaitwaje.
Unaugua vidonda vya tumbo na Figo yako ya kushoto ina shida pata mlo kamili
 
Wakuu habari za humu!

Naomba niende kwenye mada- ni wiki ya pili sasa Toka nianze kuona dalili ambazo kiukweli zinanipa wasiwasi na leo te
Kuhusu umri Mimi ni kijana tu nipo kati ya 25-31
Kuhusu kutokuwa na nguvu za kushiriki tendo ni madawa alotumia wakati unaumwa sanasana huwa ni hizi pain killers kama cipro na zinginezo zimekata mawasiliano ya mishipa mwilini wahanga wa kutumia hiz pain killer au wanaotumia madawa makali ya kutibu magonjwa hawana nguvu za kiume.

Jins gan utapona katika hili nguvu huwa zinalejea pale dawa zotakapotoka mwilini. Njia za kutoa madawa hayo ni kunywa maji mengi ili uweze kuzikojoa mara kwa mara na kufanya mazoez zitoke kwa jasho hapa inabidi ufanye zoez lenye kukutoa jashoo jingi

(Sijafuzwa uchoyo)
Achana na hawa herbal au dawa za asili watakwambia una upungufu wa nguvu za kiume njoo nikutibie utapigwa bureee

Ni mimi Folk Part II

Nipo hoi kitandani
folk ntakukuta rafiki yangu maradhi yako nami nateseka sina pa kukimbilia zaid ya kukufuata huko uliko
 
Kuhusu kutokuwa na nguvu za kushiriki tendo ni madawa alotumia wakati unaumwa sanasana huwa ni hizi pain killers kama cipro na zinginezo zimekata mawasiliano ya mishipa mwilini wahanga wa kutumia hiz pain killer au wanaotumia madawa makali ya kutibu magonjwa hawana nguvu za kiume.

Jins gan utapona katika hili nguvu huwa zinalejea pale dawa zotakapotoka mwilini. Njia za kutoa madawa hayo ni kunywa maji mengi ili uweze kuzikojoa mara kwa mara na kufanya mazoez zitoke kwa jasho hapa inabidi ufanye zoez lenye kukutoa jashoo jingi

(Sijafuzwa uchoyo)
Achana na hawa herbal au dawa za asili watakwambia una upungufu wa nguvu za kiume njoo nikutibie utapigwa bureee

Ni mimi Folk Part II

Nipo hoi kitandani
folk ntakukuta rafiki yangu maradhi yako nami nateseka sina pa kukimbilia zaid ya kukufuata huko uliko
Asante sana kwa ushauri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom