Heri wewe, mimi hata nyetohaikubaliMm ndio maana nimeamua niachane na wanawake kabisa. Nikivaa ndom ndio chombo haimwagi kabisa. lazima nikirudi nimalizie nyeto tu.
ACHA kula chips yai,Anza kula kiafya afya mkuu Mambo yatakaa sawaMkuu sio dakika mim nilitaka niwe nauwezo wakurudia roud zingne maana mwenza sianakua anahitaji muendelee hata baada ya saa moja niweze kusimama tuendeleee Sasa inakua tofaut haisimami
Tua ufafanuzi wa yowe na kutorudia tendo?Ukikojoa huwa unapiga yowe?,kama ndivyo hiyo hali inasababishwa na wenge au mzunguko wako wa damu sio mzuri kula mbogamboga hasa tembele
Maji ya moto kivipi?Hormone ya testosterone ipo chini hii ndio homon ya hamu ya kugegeda inatibika kwa njia ya asili matunda tangawiz au majimoto mimi niliwai kua kawewe nikapona sasa hivi nikikaa kifuan kwa shemeji yako bila goli tano sitatoka.
una dili na mwanamke mmoja ama una mchepuko/michepuko?Habari wakuu mimi kijana wa miaka34 nina shida ya kushindwa kurudia raundi ya pili katika tendo kwa miaka 10 Sasa naraund ya kwanza ni dk8 nimemaliza na siwezi rudia Tena hata iweje mpaka baada ya masaa nane.