chilumendo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 3,400
- 4,392
Ugumu wa maisha unachangia
Ukiwa na mambo mengi kuhusu maisha yanakukeepbusy wakati wote( una biashara zako, mashamba, mifugo nk) huo muda wa kukumbuka vitu vidogo mfano mtu mliyesoma naye darasa la kwanza unautoa wapiUgumu wa maisha unachangia nini?
Hakuna ukweli wowote katika hilo, kwani hakuna muda wa kupumzika?una kuwa bize 24/7Ukiwa na mambo mengi kuhusu maisha yanakukeepbusy wakati wote( una biashara zako, mashamba, mifugo nk) huo muda wa kukumbuka vitu vidogo mfano mtu mliyesoma naye darasa la kwanza unautoa wapi
We piga nyeto tu, baada ya muda mrefu utaonaNyeto haikufanyi usahau
Hii naichapa sana 😂Bwashee umewahi kuota unaota ndani ya ndoto?
😀
Ngoja watu wa kanisa waje uwaelezee kwann uote ndoto za shule unatakiwa uombewe 😂Hii kitu imekua inanitesa hata mimi , kuna mpaka ndoto niliziota nikiwa darasa la tano ila zinaendelea mpka leo kwa mfumo wa episodes 🤔
Ndio ni mtindo mbaya wa maisha tuHapo ulifika hatua mbaya, vip ulisharekebisha hali hio?
Asante Mkuu, unachosema ni sahihi sana,yaani vitu unajikuta vinakuja tu vyenyewe bila hata kutumia nguvu,sasa unajikuta una mambo mengi yamejaaKiasi chake mm nakumbuka hata vitu vya 2004 huko, hata darasani sijawahi kuwa wa kwanza Ila hata sasa hv nakumbuka vitu vzr mpk mtu anakuambia kwann usitafute shule ufundishe
Wakati mwingine sipend nione vitu vingi au mtu anielezee mambo yake maake kusahau kwangu inakuwa ngumu aseeh,
Hata nikivurugwa vipi, nikitulia tuu files zina jirudia zenyewe,
Hongera mkuu