MEING'ATI
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 1,212
- 1,009
Ndugu zangu kuna jambo linanisumbua nalo ni kukonda ghafla bila sababu. Nimepima Ukimwi sina Nimepima kisukari sina ila nina taiford je nayo inakondesha.
Nimeshatumia dozi ya taiford japo sijaenda kupima kama imeisha ila hili la kupungua mwili linanichosha nafsi. Tumbo linanisumbua kiasi ila sasa hii kukonda sijajua nini wakuu nisaidieni wajuvi wa afya nahitaji majibu yenu
Nimeshatumia dozi ya taiford japo sijaenda kupima kama imeisha ila hili la kupungua mwili linanichosha nafsi. Tumbo linanisumbua kiasi ila sasa hii kukonda sijajua nini wakuu nisaidieni wajuvi wa afya nahitaji majibu yenu