Tatizo la jini mahaba

Tatizo la jini mahaba

Mchana majukumu mengi mkuu!

Ndio nimepata mda wa kuperuzi wakati nacheki BBC hapa.

By the way mimi ndio natakiwa niwe muoga maana naishi mwenyewe na nyumba ni kubwa.

Au wew hata maneno yanakukosesha usingizi?
Twanga kitunguu swaumu huwe unajipaka wkt wa kulala,pia jifanyie visomo vya rukya,usiende kwa manabii ni matapeli
 
Yakisengerma san ayo mapepo tena yanakuja unahisi kama mtu anakulazimisha kufanya nae na huwezi kumzuia ila ukikemea anatoka ukijilegeza unajikuta umechafuka, pia ukumbuki sura ya uyo mwanamke

Jitahidi uwe msafi, maombi ukihusi iyo hali ongea kama unaongea na mtu mfukuze , wanakusababisha usipate pesa,, usidumu ktk mahusiano, usikumbuke kuwa na watoto

Akikikushindwa kigizagiza anakuja ki stranger utajikuta unaanzisha mauhisiano na mtu alafu mnapotezana kabisaa na humpati
 
Yakisengerma san ayo mapepo tena yanakuja unahisi kama mtu anakulazimisha kufanya nae na huwezi kumzuia ila ukikemea anatoka ukijilegeza unajikuta umechafuka, pia ukumbuki sura ya uyo mwanamke

Jitahidi uwe msafi, maombi ukihusi iyo hali ongea kama unaongea na mtu mfukuze , wanakusababisha usipate pesa,, usidumu ktk mahusiano, usikumbuke kuwa na watoto

Akikikushindwa kigizagiza anakuja ki stranger utajikuta unaanzisha mauhisiano na mtu alafu mnapotezana kabisaa na humpati
Alafu yanaambukiza umaskini na ufukara..hivi vijitu wanastahili waangamizwe kabisa wasiwepo..hapa mimi namlaamu Mungu kwasababu hivi viumbe yaani shetani, majini,mapepo na wachawi..wanamwingilia mwanadamu pasipo kujua au hata kuhisi katika ulimwengu wa roho..na mwanadamu anauwezo wa kukabiliana na adui katika ulimwengu wa mwili na nyama kwa kutumia macho yake mawili,ndio maana katengeneza silaha mbalimbali kama mabomu,bunduki,nyuklia n.k..ulimwengu wa roho mwenye uwezo wa kuwalinda viumbe vyake vinavyoonewa na ibilisi ni Mungu.

Huu uonevu na vita ya shetani,mapepo na majini dhidi ya wanadamu wasio kuwa na hatia katika ulimwengu wa roho ni injustice and total unfair.
 
habari wana jukwaa,

Natumai sote ni wazima wa afya njema, na poleni kwa wenye changamoto za aina mbali mbali.

Mimi ni kijana mwenye takribani miaka 32 kwa sasa.
Nina changamoto ya vitu ndani ya mwili wangu ambavyo nahisi inawezekana kuwa ni jini mahaba.

Baadhi ya changamoto nilizo nazo kwenye mwili wangu ni kama ifuatavyo.
1. Kuwashwa mwili hasa kwenye sehemu za siri.

2. Vitu kunitembea mwili kama sisimizi au wadudu wadogo ingawa ukipukuta hukuti chochote.

3. Kuota nimelala na mwanamke pembeni yangu hii inatokea hata mchana nikiwa nimelala.

4. Kuhisi nafanya mapenzi usingizini hadi kufikia mahali nafikia mshindo.

5. Ninapofanya mapenzi na mwanamke ni lazima mwanamke huyo aumwe tumbo au kuumwa baada ya siku kadhaa mbele (baada ya tendo).

Hizo ni Baadhi ya dalili na changamoto nilizo nazo ndani ya mwili wangu.
Nilifanikiwa kupata mtoto miaka ya nyuma ila mtoto ana changamoto ya kuumwa mara kwa mara hadi sasa ana miaka 10.

(Huumwa zaidi mapunye yasiyoisha, homa na UTI)

CHANZO: ilikua mwaka 2012 usiku wa manane, niliona nimelala na mtu pembeni ya kitanda na alikua na sura ya kike. (Ingawa sura sikuitambua.

Mwili ulianza kusisimuka kupita kiasi.

Nilihisi kitu kinatoka kichwani kama kinanivua ngozi (kama unachuna mbuzi halafu unaivua ngozi bila kutumia kisu) hadi sehemu za siri ndipo niliposhtuka na kuhisi kuna kitu kimetoka nikajiangalia sehemu za siri nikakuta Uume umesinyaa.

Toka hapo hadi leo nimekua nikiwashwa na kuhisi vitu kama vidudu au mchanga vinanitambaa ndani ya mwili.

NOTE: hadi sasa sijaoa ingawa nimepata huyo mtoto mmoja.

Kwa mwenye uelewa au mwenye msaada naomba msaada kwenye hili.

Hata kama kuna gharama nitajivuta ili niweze kujikomboa kwenye hii changamoto.

Asanteni na karibu kwa michango.
Wewe ni dini gani?
 
habari wana jukwaa,

Natumai sote ni wazima wa afya njema, na poleni kwa wenye changamoto za aina mbali mbali.

Mimi ni kijana mwenye takribani miaka 32 kwa sasa.
Nina changamoto ya vitu ndani ya mwili wangu ambavyo nahisi inawezekana kuwa ni jini mahaba.

Baadhi ya changamoto nilizo nazo kwenye mwili wangu ni kama ifuatavyo.
1. Kuwashwa mwili hasa kwenye sehemu za siri.

2. Vitu kunitembea mwili kama sisimizi au wadudu wadogo ingawa ukipukuta hukuti chochote.

3. Kuota nimelala na mwanamke pembeni yangu hii inatokea hata mchana nikiwa nimelala.

4. Kuhisi nafanya mapenzi usingizini hadi kufikia mahali nafikia mshindo.

5. Ninapofanya mapenzi na mwanamke ni lazima mwanamke huyo aumwe tumbo au kuumwa baada ya siku kadhaa mbele (baada ya tendo).

Hizo ni Baadhi ya dalili na changamoto nilizo nazo ndani ya mwili wangu.
Nilifanikiwa kupata mtoto miaka ya nyuma ila mtoto ana changamoto ya kuumwa mara kwa mara hadi sasa ana miaka 10.

(Huumwa zaidi mapunye yasiyoisha, homa na UTI)

CHANZO: ilikua mwaka 2012 usiku wa manane, niliona nimelala na mtu pembeni ya kitanda na alikua na sura ya kike. (Ingawa sura sikuitambua.

Mwili ulianza kusisimuka kupita kiasi.

Nilihisi kitu kinatoka kichwani kama kinanivua ngozi (kama unachuna mbuzi halafu unaivua ngozi bila kutumia kisu) hadi sehemu za siri ndipo niliposhtuka na kuhisi kuna kitu kimetoka nikajiangalia sehemu za siri nikakuta Uume umesinyaa.

Toka hapo hadi leo nimekua nikiwashwa na kuhisi vitu kama vidudu au mchanga vinanitambaa ndani ya mwili.

NOTE: hadi sasa sijaoa ingawa nimepata huyo mtoto mmoja.

Kwa mwenye uelewa au mwenye msaada naomba msaada kwenye hili.

Hata kama kuna gharama nitajivuta ili niweze kujikomboa kwenye hii changamoto.

Asanteni na karibu kwa michango.
Wewe una uchawi wa kiagano ndani ya damu yako,vipi ulishawahi kwenda kwa mganga,mpiga ramli,msoma nyota hapo kabla?
 
Back
Top Bottom