mohammad_othar
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 247
- 42
Habarini wadau ! Naimani mpo poa na wazima wa afya , nlikuwa kati ya waombaji wa mkopo mwaka huu ujao wa masomo. Baada ya uhakiki leo nimepata list kwamba - APPLICANT IDENTIFICATION DOCUMENT iko invalid. Nlikuwa naomba kujua shida ni nini ? Na wanahitaji nini heslb as an identification document ?
Ahsanteni sana !
Ahsanteni sana !